JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Serikali,TUCTA wakutana kujadili malalamiko ya nyongeza ya mishahara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imekutana na uongozi wa Shirikisho la vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kutokana na malalamiko ya wafanyakazi juu ya nyongeza ya mishahara ya kima cha chini. Akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kumalizika kwa kikao…

Zaidi ya Watanzania milioni 61 kuhesabiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga ZAIDI ya Watanzania milioni 61 wanakadiriwa kuhesabiwa wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakalofanyika Agosti 23 mwaka huu hapa nchini. Hayo yamesemwa na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Anna Makinda wakati wa…

NMB yamwaga neema shule tano Temeke

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbali mbali vyenye thamani ya milioni 39 kwa shule tano za Temeke huku iksisitiza dhamira yake ya kuendelea kusaidia mipango ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini kote. Vifaa…

Gari la shule laua wanafunzi 8, Rais Samia atoa pole

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mtwara RAIS Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na taarifa ja ajali iliyosababisha watu 10 kupoteza maisha baada ya gari la shule kutumbukia shimoni. Ajali hiyo imetokea leo baada ya gari lenye namba za usajili T 207 CTS Mali…

Tanzania yafikia asilimia 37 ya uchanjaji UVIKO-19

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Tanga HADI kufikia Julai 18, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea wamepata chanjo kamili ya UVIKO-19 hapa nchini. Hayo yamebainishwa jana na Waziri wa Afya…