Category: Kitaifa
Benki Kuu yatakiwa kuhamasisha wananchi kuwekeza
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya NAIBU Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Yamungu Kayandabila, ameitaka BoT kuongeza uhamasishaji kwa wananchi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, pamoja na shughuli zingine za kilimo, kuwekeza katika dhamana za serikali. Dkt. Kayandabila…
Tanzania,Namibia zaweka mikakati ya kukuza sekta ya biashara
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Balozi wa Namibia Nchini Tanzania Lebbius Tangeni Tobias,amefanya ziara rasmi ya kikazi katika Chemba ya Biashra, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Chemba hiyo, Paul Koyi katika ofisi za Makao Makuu…
Tanzania, Zambia kushirikiana katika kukuza kibiashara
Tanzania na Zambia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika kuibua fursa za biashara na kutatua mara moja changamoto zilizopo na zitakazojitokeza katika uwekezaji na biashara ili kukuza biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamesemwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda…
Majaliwa: Tutaendelea kuondoa changamkto sekta ya nishati
Majaliwa: Tutaendelea kuondoa changamkto sekta ya nishati WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia kikamilifu sekta ya nishati nchini ili kuondoa changamoto mbalimbali zitokanazo na sekta hiyo….
Ujumbe Benki ya Dunia wakagua maendeleo ya mradi wa Tanzania ya kidijitali
UJUMBE wa Benki ya Dunia umetembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, zilizopo jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mulembwa Munaku kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania…





