Category: Nyundo ya Wiki
Uhuru miaka 58 bado kuna kususa tu? (2)
Katika sehemu iliyopita ya makala hii tuliona historia ya vyama vya siasa hapa nchini tangu wakati wa ukoloni. Tuliona jinsi wakoloni nao walivyowatumia baadhi ya wazawa kuanzisha vyama ambavyo vilikuwa na wanachama Waafrika kwa lengo la kutaka kuwagawa. Lakini katikati…
Serikali yataka kuifumua sheria ya TLS
Serikali inalenga kufanya mabadiliko ya kiuundo wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kupitia mabadiliko ya sheria iliyounda Chama hicho. Kupitia muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali namba 8, serikali inapendekeza kuanzishwa kwa ‘matawi’ ya TLS mikoani na katika kanda ambayo…
Shetani anapokuwa malaika na malaika kuwa shetani – (1)
Hivi karibuni Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba ilimhukumu kunyongwa hadi kufa mwalimu mmoja wa Shule ya Msingi Kibeta iliyoko Manispaa ya Bukoba. Mwalimu huyo alihukumiwa baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumuua kwa makusudi mwanafunzi wake. Mwanafunzi huyo…
Kama CCM wametangaza ushindi, uchaguzi wa nini?
Msifikiri Watanzania ni wajinga au hawana akili. Mpango wa kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani haukuwa utashi wa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 24, 2019. Wenye akili wanajua kwamba ulikuwa mpango mahususi…
Dk. Kigwangalla atauweza ‘mfupa’ uliomshinda Prof. Maghembe?
Safari ya kuupanda Mlima Kilimanjaro ambao ndio mlima mrefu kuliko yote barani Afrika haihitaji mbwembwe bali ni utimamu wa mwili, afya njema na kufuata maelekezo ya waongozaji wageni. Hiyo ndiyo siri ya mafanikio kwa wale wanaofanikiwa kukifikia kilele cha Uhuru…
Rais nisaidie, nimebambikiwa kesi ya ugaidi
Mheshimiwa Rais John Magufuli, nachukua fursa hii kukushukuru na kukuombea kwa Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya na umri mrefu ili uweze kuendelea kuwatumikia Watanzania, hasa wanyonge wa nchi yetu. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana namna unavyoshughulikia changamoto mbalimbali mpaka ninafurahi,…





