JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Nyundo ya Wiki

CHAKAMWATA yapigwa ‘stop’

Shughuli za Chama cha Kutetea Haki na Masilahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA) zimebatilishwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na Ajira baada ya  kubaini chama hicho kukosa bodi ya wadhamini. Ofisi ya Msajili imefikia uamuzi huo wakati chama…

Usalama kazini tatizo Kiwanda cha Saruji Nyati

Mfanyakazi wa Kiwanda cha Saruji cha Nyati, Charles Reuben, amekufa akiwa kazini huku chanzo cha kifo kikidaiwa ni kufunikwa na kifusi cha makaa ya mawe. Reuben amekutwa na mauti hayo usiku wa kuamkia Julai 28, 2019 baada ya kuteleza na…

Tuhuma za rushwa zamtikisa DC Sabaya

Mzimu wa tuhuma za kudai na kupokea rushwa kutoka kwa wawekezaji mbalimbali Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro umezidi kumwandama Mkuu wa Wilaya hiyo, Lengai ole Sabaya. Safari hii DC huyo anatajwa kudai na kupokea rushwa ya Sh milioni 10 kutoka kwa…

HALI YA UCHUMI KWA WATANZANIA

TEC, Bakwata, CCT wafichua mkwamo   Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata) na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) wamefichua mambo manane yanayoifanya nchi ishindwe kuwahakikishia wananchi uchumi imara na maendeleo endelevu. Mbali na kufichua aina…

Dizeli yabainika ndani ya visima vya maji

Baadhi ya visima vya maji safi katika Kitongoji cha Buseresere wilayani Chato, mkoani Geita vimebainika kuwa na mchanganyiko wa maji na dizeli. Kutokana na hali hiyo, wananchi hao wanaelekeza lawama zao kwa mmiliki wa Kituo cha Mafuta cha Buseresere, Samwel…

Mapya vitambulisho vya ujasiriamali Kwimba

Vitambulisho vya Rais John Magufuli vya wajasiriamali vimezua sokomoko baada ya kaya maskini zilizomo kwenye mpango wa kusaidiwa fedha kutoka katika Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini (TASAF) kuamriwa kulipia vitambulisho hivyo. Hali hiyo imetokea wilayani Kwimba, Mkoa wa Mwanza,…