Category: Michezo
Morocco yaanza Afcon 2025 kwa ushindi dhidi ya Comoros
Wenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, Morocco, wameanza kampeni yao ya kutafuta taji la pili la barani Afrika kwa ushindi wa mabao 2 – 0 dhidi ya Comoros katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa mjini Rabat. Atlas Lions…
Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Wanamichezo nchini wamehamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la Serikali la mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Wito huo umetolewa na Bi. Jaina Msuya, mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa…
Mashindano ya ‘Ladies First 2025’ kurindima Dar, viongozi watia neno kuimarika kwa wanawake
Mashindano ya Riadha ya Wanawake Ladies First 2025 yanatarajiwa kufanyika Novemba 29 na 30 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, yakihusisha wanariadha 155 kutoka mikoa 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yataongozwa na Baraza…
Klabu ya Simba yakubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda
Klabu ya Simba SC imepoteza kwa bao 1–0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda katika mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa leo, Novemba 23, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Bao…
CAF yamtunuku Dk Samia tuzo kwa mchango wake sekta ya michezo
Shiriko la Soka barani Afrika (CAF), limemtunuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya heshima kutokana na mchango mkubwa kwenye maandalizi ya uenyeji wa michuano ya CHAN 2024. Pamoja na Rais Samia, tuzo hiyo pia amekabidhiwa Rais wa Kenya,…
Simba yajiweka vizuri kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Simba SC kwenye nafasi nzuri kuelekea mchezo wa marudiano utakaochezwa wiki ijayo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nsingizini FC ya Eswatini Ushindi wa jumla wa michezo…





