JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Waziri Mkuu azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA mwaka 2025

…………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga sh. bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini na kati ya hizo, sh. bilioni 32 ni kwa ajili ya kuimarisha Chuo cha Michezo Malya. Amesema shilingi bilioni 11 zimetengwa kwa…

Wanamichezo waendelea kuwasili viwanjani uzinduzi UMITASHUMTA & UMISSETA 2025

OR-TAMISEMI Wanamichezo kutoka mikoa mbalimbali wanaendelea kuwasili katika viwanja vya Kichangani Manispaa ya Iringa kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa Mashindano ya UMITASHUMTA & UMISSETA 2025. Ufunguzi huo unatarajiwa kuongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim…

Lina PG Tour msimu wa tatu yatikisa Moshi, Nkya aibuka tena kidedea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MCHEZAJI wa gofu wa kulipwa kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam, Fadhil Nkya ameibuka tena mshindi katika mashindano ya Lina PG Tour msimu wa tatu ambayo yamefanyika kwa lengo la kumuenzi mchezaji…

Simba yashindwa kutwaa ubingwa

Mashabiki wa Simba na Watanzania kwa ujumla wameshuhudia timu Simba ikishindwa kutwaa ubingwa katika mchezo wa marudiano fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu hiyo na RS Berkane ya Morocco. Simba imelazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo…

Rais Mwinyi awaahidi klabu ya Simba dola laki 1 za kimarekani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba kiasi cha Dola Laki Moja za Kimarekani endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Dkt. Mwinyi ametoa…