JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Ziana Mlawa :SHIMIWI ni mahala pa kazi

📌 Asema Wizara ya Nishati ipambane irudi na ushindi 📌 Asema Wizara ya Nishati iwe mfano kwa Wizara zingine Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga…

Bondia Zugo atwaa mkanda wa ubingwa wa dunia

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora BONDIA Abdul Zugo wa Tabora amempiga kwa KO raundi ya tatu bondia Sameer Kumar kutoka India na kuvishwa Mkanda wa Ubingwa wa Dunia wa Uzito wa Kati katika pambano la Kimataifa lililoandaliwa na Shirikisho la…

Bondia Zigo kuwania mkanda wa Ubingwa wa Dunia leo

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora BONDIA Abdul Zugo wa Tabora ameahidi kumpiga kwa KO bondia kutoka India, Sameer Kumar katika pambano lao la Ubingwa wa Dunia la uzito wa kati litakalofanyika kesho katika ukumbi wa Orion Hotel Mjini Tabora. Akizungumza…

NCAA yalipia mashabiki 500 mechi Taifa Stars Morocco

Na Hamis Dambaya, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imenunua tiketi 500 kwa ajili ya kulipia mashabiki 500 kuingia uwanja wa Benjamini Mkapa leo Agosti 22, 2025 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya robo fainali ambapo…

Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeishukuru na kuipongeza Benki ya NMB, kwa mchango wa Sh. Mil. 30 iliyoutoa kuhamasisha mashabiki na wachezaji wa Taifa Stars kuelekea mechi ya robo fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa…

Tanzania yaandika rekodi mpya, yatinga robo fainali michuano ya CHAN 2024

Timu ya taifa ya Tanzania imeandika rekodi mpya kutinga hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika CHAN 2024. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar umefungua njia kwa Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Suleiman. Mabao ya Tanzania…