JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Namuona Mourinho akitua Man United

Kwa wasiofahamu ni kwamba Kocha Jose Mourinho mbali ya kuwa na utani wa jadi na Arsene Wenger wa Arsenal, lakini alikuwa na upinzani mkali hasa wa maneno ya karaha na Sir Alex Ferguson, kocha wa zamani  wa Manchester United. Ferguson…

Imetimia nusu karne tangu kifo cha Salum Abdallah

Salumu Abdallah Yazidu (pichani)hatosahaulika kamwe katika ulimwengu wa muziki. Alikuwa mtunzi, mwimbaji wa bendi ya Cuban Marimba iliyokuwa na maskani yake katika mji wa Morogoro.  Wakati wa uhai wake alileta ushindani mkubwa katika muziki wa dansi mjini humo akishindana na…

Bundi atua Man Utd?

Klabu ya Manchester United ya jijini Manchester nchini England imeanza kupasua mioyo ya mashabiki wake baada ya kupata sare tatu mfululizo ndani ya majuma mawili. Man United maarufu kama Mashetani Wekundu ilipata sare nyumbani katika mchezo wa ligi ya mabingwa…

Soka letu na hekima ya Maguri Taifa Stars

Unapozungumza suala la soka hapa nchini kwa wiki hii bila kuitaja timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), bado unakuwa hujaeleza kile kilichotawala vichwa vya wanamichezo. Pamoja kipigo cha Taifa Stars cha mabao 7-0 bado kuna hekima ya kujifunza kutoka…

Kwani Simba mna kiasi gani?

Uungwana ni vitendo na uungwana huo huthibitika pale ukweli halisi unaposemwa bayana badala ya kukwepakwepa na kutafuta visingizio. Katika misimu mitatu mfululizo, mwenendo wa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam katika Ligi Kuu umekuwa si mzuri….

Usiyoyajua kuhusu CR7

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na Klabu ya Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo, amejinasibu kuwa yeye ni mchezaji bora ulimwenguni. Ronaldo au CR7 aliyepata kuichezea Manchester United ya England kwa miaka zaidi ya mitano, ana mengi ya kujivunia akiwa…