Category: Michezo
Mashabiki wawili wa Simba wafariki, watatu wajeruhiwa Vigwaza
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watu wawili wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana Machi 29 ,asubuhi huko Vigwaza Mizani, Wilaya ya kipolisi Chalinze, Mkoa wa Pwani. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani Pius Lutumo, amethibitisha…
Mashabiki Simba wapata ajali, mmoja afariki
Mashabiki wa klabu ya Simba waliokuwa katika basi dogo la abiria aina ya Coaster wamepata ajali eneo la Vigwaza mkoani Pwani na mtu mmoja amefariki. Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba imeeleza kuwa ajali hiyo imetokea alfajiri…
Mwijuma apongeza Shirikisho la IFPI kuchagua Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma ameupongeza uongozi wa Shirikisho la Kimataifa la Watayarishaji wa Muziki Duniani (IFPI) kwa kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wao mkuu uliofanyika leo Jijini…
Clara Luvanga mfungaji bora Al Nassr
Na Isri Mohamed Mtanzania Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr huko nchini Saud Arabia ameibuka kuwa mfungaji bora wa ligi ya wanawake nchini humo. Luvanga ambaye klabu yake ya Al Nassr ladies imechukua ubingwa wa ligi,…
Bilioni 286 kujenga uwanja wa Arusha, kubeba watu 30000
Na Isri Mohamed Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Dkt. Damas Ndumbaro leo ameongoza zoezi la utiaji saini na mkandarasi unaohusiana na ujenzi wa uwanja mpya wa michezo Jijini Arusha. Waziri Ndumbaro amesema kwa sasa unajengwa uwanja wa kisasa wenye thamani…
Paccome aitwa timu ya Taifa Ivory Coast
Na Isri Mohamed Shirikisho la Soka la Ivory Coast limetangaza kumuita kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua kwenye kikosi cha timu yao ya Taifa. Paccome ameitwa kuchukua nafasi ya kiungo mkabaji wa Nottingham Forest Ibrahim Sangare ambaye amepata majeraha. Ivory…





