Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
April 5, 2024
Michezo
Rais Samia apokea milioni 500/- kwa ajili ya timu za taifa za Tanzania
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia apokea milioni 500/- kwa ajili ya timu za taifa za Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa Hundi ya Shilingi milioni 500 kwa ajili ya Mashindano yanayohusu Timu za Taifa za Tanzania kutoka kwa Mfanyabiashara Said Naseer Naseer kwa niaba ya Wafanyabiashara wenzake kutoka Zanzibar. Shughuli hii imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) Ndugu Wallace Karia mfano wa Hundi ya Shilingi milioni 500 kwa ajili ya Mashindano yanayohusu Timu za Taifa za Tanzania Ikulu Jijini Dar es Salaam. Fedha hizo zimetolewa na Wafanyabiashara wa Zanzibar katika kumuunga mkono Rais Samia kwenye michezo tarehe 04 Aprili, 2024. Kushoto ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishuhudia
Post Views:
309
Previous Post
LHRC yaainisha mambo yaliyochwa kwenye sheria ya uchaguzi
Next Post
Benki ya NMB yafuturisha wabunge na watoto wenye mahitaji maalum Dodoma
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Habari mpya
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Kagame ailaani Jumuiya ya Kimataifa kutilia shaka Rwanda
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu kuelekea mkutano mkuu maalumu wa CCM
Rais Samia ateua na kuhamisha viongozi
Shirikisho la Waandishi wa habari Afrika Mashariki laanzishwa kutetea haki za wanahabari
TLSB: Serikali mwaka huu itatenga fedha nyingi za ununuzi wa vitabu vya ndani
Kwenye uchaguzi wa BAVICHA rushwa ilikuwepo -Wakili Mahinyila
Lema amjibu Wenje, amuita muongo
UNCDF yataka jamii kuelimishwa zaidi matumizi ya nishati safi
Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel
NCC yahimiza ujenzi wa majengo salama na yanayozingatia afya ya watumiaji