JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Serikali yatenga Bmbilioni 11/- kuboresha miundombinu ya michezo shuleni

Na OR-TAMISEMI, Iringa NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinyijuma amesema Serikali imetenga Shilingi Bilioni 11 kwa ajili ya kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule 10, kati ya shule 56 maalum za michezo zilizopo…

Mashindano ya Taifa kuogelea kwa vijana yaendelea kuibua vipaji vipya

Na Lookman Miraji Mashindano ya taifa kwa vijana katika mchezo wa kuogelea yameendelea kuleta msisimko kwa wadau wa mchezo huo nchini. Mashindano ya hayo ya taifa kwa vijana yamefanyika mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kalenda ya mwaka ya chama…

Waziri Mkuu azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA mwaka 2025

…………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga sh. bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini na kati ya hizo, sh. bilioni 32 ni kwa ajili ya kuimarisha Chuo cha Michezo Malya. Amesema shilingi bilioni 11 zimetengwa kwa…

Wanamichezo waendelea kuwasili viwanjani uzinduzi UMITASHUMTA & UMISSETA 2025

OR-TAMISEMI Wanamichezo kutoka mikoa mbalimbali wanaendelea kuwasili katika viwanja vya Kichangani Manispaa ya Iringa kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa Mashindano ya UMITASHUMTA & UMISSETA 2025. Ufunguzi huo unatarajiwa kuongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim…

Lina PG Tour msimu wa tatu yatikisa Moshi, Nkya aibuka tena kidedea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MCHEZAJI wa gofu wa kulipwa kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam, Fadhil Nkya ameibuka tena mshindi katika mashindano ya Lina PG Tour msimu wa tatu ambayo yamefanyika kwa lengo la kumuenzi mchezaji…