Category: Michezo
Kamwe:Hatuna hofu kukutana na timu yoyote robo fainali
Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Uongozi wa Yanga Sc umesema upo tayari kuona kikosi chao kikipangwa na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho Barani Afrika. Afisa Habari wa klabu ya Yanga ‘Ali Kamwe amesema kwa ubora…
Simba Queens kunyukana na Yanga Princess kesho
Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Wababe wa Soka la Bongo kwa upande wa Wanawake Simba Queens na Yanga Princess kesho Jumatano (Machi 22) wataingia dimbani kupapatuana katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake Tanzania. Katika mchezo huo Yanga Princess watakua…
Monastir: Hatutumii nguvu kuikabili Yanga leo
Na Tatu Saad,JamhuriMedia Baada ya ushindi mnono wa mabao 7-0 walioupata Simba Sc dhidi ya Horoya ya Guinea katika mchezo wa mzunguko wa tano wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika,leo Yanga Sc wanakutana na US Monastir ya…
Simba yatinga robo fainali kwa kishindo, Chama aondoka na mpira
Timu ya Simba mefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kufanikiwa kuichapa Horoya AC kwa mabao 7-0 katika mchezo wa Kundi C leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mabao…
Serikali yajipanga kuendeleza michezo sita ya kipaumbele
Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imejipanga vema kusimamia na kuendeleza michezo sita ya kipaumbele ya kimkakati ikiwemo mpira wa kikapu ili kuleta tija katika sekta ya michezo nchini. Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema hayo…