JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Waonywa kucheza Ndondo Cup msimu wa Ramadhan

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Shirikisho la Soka Zanzibar ‘ZFF’ limewaonya Wachezaji wa Klabu za Ligi Kuu visiwani humo ‘PBZ Premier League’ pamoja na Ligi Daraja la kwanza Kanda ya Unguja na Pemba, kutojihusisha na kucheza Michuano ya Mitaani (NDONDO Cup)…

Dario bado ni mali ya Singida

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Nyota Dario Frederico kutoka klabu ya Singida Big Stars ameongezewa muda wa likizo na timu yake hiyo baada ya kupewa likizo ya mwezi mmoja kwa akili ya matibabu nchini Brazil na ripoti ya daktari ikionesha amepona…

Geita Gold yaitaka Yena

Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Klabu ya Geita Gold imetangaza nia ya kushiriki katika michuano ya Kimataifa msimu wa 2023/24 kwa ubora mkubwa zaidi kwa kuweka mikakati mbalimbali itakayowasaidia katika kufikia malengo hayo. Katibu mtendaji wa Geita Gold, Simon Shija amesema…

Ihefu yajizatiti kuwakabili Simba

Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Kikosi cha Ihefu FC kimeanza rasmi mazoezi ya kujifua chini ya benchi la ufundi la timu hiyo, kuelekea mchezo wa Robo Fainali kombe la shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ dhidi ya Simba SC utakaopigwa jijini Da…

TFF yatoa neno Kapombe na Tshabalala kutokuitwa kikosi cha Taifa

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Baada ya kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya wapenzi wa soka nchini baada ya mabeki wawili wa klabu ya Simba SC Mohammed Hussein na Shomari Kapombe kutoitwa katika kikosi cha timu ya Taifa, shirikisho la soka…

TFF yaipiga ‘stop’ Ndondo Cup,yawataka wanaoanzisha mashindano kuwa na kibali

Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limetoa tamko kwa wanaohitaji kuanzisha mashindano yoyote ya mpira wa miguu. Kupitia ukurasa wake wa Mitandao ya kijamii TFF wametoa taarifa inayosema wao ndio wenye mamlaka ya kutoa kibali…