Category: Michezo
NMB Jogging mguu sawa ‘Mwendo wa Upendo’
Wakati mbio za NMB Marathon zikitarajiwa kutimua vumbi Septemba 24 mwaka huu, klabu ya NMB Jogging yenyewe jana Jumatatu ilianza kujifua mapema kwa ajili ya kujiweka tayari kushiriki mbio hizo. Jogging hiyo ilianza kujiandaa na mbio hizo kushirikiana klabu ya…
Azam FC yapata kocha mpya anayeijua soka la Afrika
Matajiri wa jiji la Dar es Salaam kutoka Chamazi Timu ya Azam FC Mwaka huu wamedhamiria baada ya kumleta kocha mwenye Makombe huku akiwa analijua zaidi Soka la Afrika Denis Lavagne,kutoka nchini Ufaransa. Kocha huyo raia wa Ufaransa, mwenye wasifu…
Barrick North Mara yaandaa ligi ya soka ya ‘Mahusiano Cup’ Tarime
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mara MgodiI wa dhahabu wa Barrick North Mara, kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, umeandaa mashindano ya soka ya kuwania kombe la ‘Mahusiano Cup’ yanayojumuisha vijiji 16 vinavyozunguka mgodi huo ambayo yalizinduliwa rasmi jana katika viwanja…
Simba yachapwa 1-0 na Arta Solar ya Djibouti
Licha ya kumiliki mpira kwa asilimia 61 Timu ya Simba imepokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wageni Arta Solar kutoka nchini Djibouti mchezo wa Kimataifa wa kirafiki uliopigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Shujaa wa Arta Solar…