Category: Michezo
Mzee Mpili anapotuongezea siku za kuishi
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hebu fikiria unarudi nyumbani au maskani kutoka kazini, umechoka kwa pilikapili za kutwa nzima, kama kawaida unajikuta unashika simu yako ya kiganjani na kuingia katika mitandao ya kijamii. Mitandao ya kijamii ni liwazo kwa…
Messi yuko huru, haishitui
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mambo huwa yanakwenda na kufika mwisho. Nimewahi kuuona mwisho wa Steven Gerrard na Liverpool. Nikawahi kuuona mwisho wa Sergio Ramos na Real Madrid. Hivi sasa ninauona mwisho wa Lionel Messi na Barcelona. Haishitui sana….
Italia na Cattenacio yao, Ureno na Ronaldo wao
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Michezo ya mzunguko wa pili michuano ya mataifa Ulaya maarufu kama EURO 2020, imeanza wiki iliyopita. Kila taifa limeshacheza mchezo mmoja, huku baadhi ya mataifa yakicheza michezo miwili. Michuano hiyo ya mwezi mmoja iliyopaswa…
Kante kioo cha Mzamiru
Na Mwandishi Wetu Umewahi kutulia na kumtazama kwa jicho la tatu kiungo wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam na timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Mzamiru Yassin? Kwa upande mwingine, unamfuatilia kwa umakini kiungo wa Klabu ya…
Nani ‘anaua’ vipaji Yanga?
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Ni matamanio ya kila shabiki wa soka kuiona klabu anayoishabikia ikipiga hatua na kufikia mafanikio, ikiwa ni pamoja na kuchukua mataji. Naam! Ni kama vile kuwafikisha wana wa Israel katika nchi ya ahadi na…
Nyota Liverpool awa Balozi Tanzania
ARUSHA Na Mwandishi Wetu Beki wa kimataifa wa Ufaransa na nyota wa zamani wa miamba wa soko wa Ligi Kuu ya England (EPL), Liverpool, MamadouSakho, ameombwa na kukubali kuwa Balozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania.Beki huyo wa kati mwenye…