JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Karibuni kwenye ‘show’ za Aucho 

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu  Wiki iliyopita Yanga walimalizana na Mganda Klalid Aucho. Aucho ni kiungo wa ulinzi anayefanya sana kazi kiwanjani. Hapa Yanga wamepata mtu wa shoka. Binafsi ni shabiki wa Aucho. Tena ni shabiki wake mkubwa. Tangu…

Messi na ukurasa wa mwisho Camp Nou

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Kila zama na kitabu chake. Kila nabii na kitabu chake. Hii ni misemo maarufu katika jamii na hutumika mara kwa mara. Messi naye ana kitabu chake katika Klabu ya Barcelona na soka kwa ujumla…

Ally Niyonzima ameachwa Azam!

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam wanakifanyia marekebisho kikosi chao. Wanasajili kila uchwao. Licha ya kufanya usajili mkubwa wa mastaa mbalimbali, lakini pia wameachana na baadhi ya mastaa.  Mmoja wa mastaa walioachana…

Kigoma kuna nini?

KIGOMA Na Mwandishi Wetu Kigoma kuna nini? Hii ni kaulimbiu yenye swali iliyotumika miaka ya 1980 wakati sherehe za Sabasaba zilipofanyika kitaifa mkoani Kigoma. Safari hii imejirudia lakini kwa aina tofauti na sasa ni mashabiki wa Yanga ndio wanaojiuliza Kigoma…

Mzee Mpili anapotuongezea siku za kuishi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu   Hebu fikiria unarudi nyumbani au maskani kutoka kazini, umechoka kwa pilikapili za kutwa nzima, kama kawaida unajikuta unashika simu yako ya kiganjani na kuingia katika mitandao ya kijamii.  Mitandao ya kijamii ni liwazo kwa…

Messi yuko huru, haishitui

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mambo huwa yanakwenda na kufika mwisho. Nimewahi kuuona mwisho wa Steven Gerrard na Liverpool. Nikawahi kuuona mwisho wa Sergio Ramos na Real Madrid. Hivi sasa ninauona mwisho wa Lionel Messi na Barcelona. Haishitui sana….