Category: Michezo
Msuva kumfuata Samatta EPL
Mshambuliaji wa Difaa El Jadida ya Morocco, Simon Msuva, ametajwa katika orodha ya mastaa kutoka Afrika Mashariki ambao wanaweza kumfuata Mbwana Samatta katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Samatta aliweka historia mwanzoni mwa mwaka huu kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza…
Corona inavyowatesa wanamichezo duniani
Dunia inatetemeka! Habari kubwa kwa sasa ni juu ya virusi vya corona ambavyo vimetapakaa karibu ulimwengu wote. Havichagui jina wala umaarufu. Wale watu maarufu zaidi nao kwa sasa wamo katika karantini katika mikakati ya kuzuia kusambaa kwa virusi hivyo. Tuizungumzie…
Tufikirie kuleta waamuzi kutoka nje
Sitaki kuzungumzia matokeo ya mechi kati ya Yanga dhidi ya Simba. Kila mtu anajua matokeo yake. Kuna yaliyowafurahisha na wengine wamekereka. Ila kwa ujumla ninataka tutazame juu ya waamuzi wetu ndani ya Ligi Kuu. Na sitaitumia tu mechi hiyo kuangalia…
Yanga, Simba funzo tosha
Rais John Magufuli kuna kitu alikifanya kizuri zaidi Jumapili. Siku ambayo Yanga iliivaa Simba na kuondoka na ushindi wa bao 1-0, katika mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ile kwenda uwanjani tu, ilikuwa hamasa tosha na kuonyesha kuna ‘derby’…
Simba, Yanga zitaibua vipaji?
Aliyemuibua Joseph Yobo hadi akawa mmoja wa wachezaji maarufu nchini Nigeria ni mama mmoja aliyekuwa akishughulika na ukuzaji wa vipaji vya watoto katika Jimbo la River. Alitumia fedha zake mwenyewe kwa miaka mingi, lakini baadaye dunia ikaanza kumfahamu baada ya…
Samatta: Naanza kuwaelewa wenzangu
Mshambuliaji nyota wa Aston Villa, Mbwana Samatta, taratibu ameanza kuuzoea mfumo wa uchezaji wa timu yake mpya. Samatta pia ni nahodha wa Taifa Stars na ni mchezaji wa kwanza Mtanzania kucheza Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Akizungumza hivi karibuni, Samatta…