Category: Maoni ya Mhariri
Hongera DC, Mahakama lakini sheria mbovu
WIKI iliyopita vyombo vya habari nchini vilichapisha habari kuwa Mahakama ya Wilaya Bunda imemtia hatiani na kuamuru afungwe jela miaka mitatu mfanyabiashara mwenye asili ya Kichina, Mark Wang Wei aliyejitoa wazi kumhonga Sh 500,000 Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe.
Serikali imebariki TTCL itafunwe?
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ni mali ya Watanzania kwa asilimia 65. Sehemu nyingine ya hisa ndiyo inayomilikiwa na wawekezaji.
Hongera SMZ, Mapinduzi Daima
Jumamosi hii Watanzania wakaazi wa Zanzibar wanasherehekea miaka 49 ya Mapinduzi yaliyofanyika Januari 12, 1964 baada ya kuwapo sintofahamu kutokana na uchaguzi uliovurundwa na mkono wa wakoloni kukandamiza wazawa wafuasi wa African Shiraz Party (ASP). Tunafahamu historia hii inafahamika vyema kwa kila Mtanzania kwenye kufuatilia historia. Tunafahamu pia malengo ya msingi ya kufanyika kwa mapinduzi haya.
Mwaka mpya tuchape kazi
Leo ni Mwaka Mpya. Ni mwaka 2013. Tunafahamu Januari hii ni kichomi kwa familia nyingi. Iwe kwa matajiri au masikini, waajiri au waajiriwa ni mwezi wa tabu. Kodi za nyumba zinadai, ada za shule zinadai, wenye magari mengi yanaisha bima na hati za njia na hata wenye kununua viatu na nguo kwa msimu zimekwisha, wanahitaji vipya.
Kuwasimamisha tu haitoshi, wafilisiwe
BODI mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imesimamisha wakurugenzi 16 ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazowakabili.
Tanesco inawakera wateja Dar es Salaam
Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), limeanza kuwakera wateja wake jijini Dar es Salaama, hata baada ya uongozi wa wizara husika kutangaza kikomo cha tatizo la mgawo wa nishati hiyo.