Category: Maoni ya Mhariri
Tanzania si nchi masikini, wafanyakazi walipwe vizuri
Leo ni Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani. Tunawapongeza wafanyakazi wa Tanzania ambao, licha ya kufanya kazi katika mazingira magumu na kupata ujira mdogo, wameendelea kuwa wavumilivu.
Uvamizi huu unafanywa viongozi wakiwa wapi?
Kwa siku kadhaa sasa mamlaka katika Jiji la Dar es Salaam zimekuwa zikiwahamisha wachuuzi waliovamia hifadhi za barabara na kuendesha biashara. Vurugu zimeripotiwa kutokea katika baadhi ya maeneo ya Ubungo na mengine jijini humo.
Hongera Nassari, hongera Chadema
Wapigakura wa Arumeru Mashariki wameamua. Wamemchagua mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari kuwa mbunge wao. Nassari amewashinda wagombea wengine saba wa vyama vya siasa, akiwamo Sioi Sumari aliyekuwa akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).