JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Afya

MOI yafundisha wataalamu zaidi wa upasuaji ubongo kupitia pua

*Mgonjwa hupona kwa muda mfupi  *Bima ya Afya ni suluhu upatikanaji huduma za kibingwa   DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imepiga hatua nyingine kwenye maboresho ya miundombinu na vifaa vya kisasa katika upasuaji wa ubongo…

Baadhi ya vipimo muhimu ambavyo wengi huvisahau – 2

Vipimo ni muhimu sana kwa maendeleo ya afya zetu, kwa watu wa jinsia zote na rika zote. Kupitia vipimo tunaweza kutambua mustakabali wa afya zetu na hivyo kujiweka kwenye nafasi nzuri katika kupambana na maradhi mbalimbali. Hivi karibuni, takwimu kutoka…

Vipimo muhimu ambavyo wengi huvisahau – 1

Vipimo ni muhimu sana kwa maendeleo ya afya. Kupitia vipimo tunaweza kutambua mustakabali wa afya zetu na hivyo kujiweka kwenye nafasi nzuri katika kupambana na maradhi mbalimbali. Hivi karibuni takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zilionesha kuwa idadi ya…

Ujue kwa Undani Ugonjwa Uliomuua Agness Maogange

Taarifa tulizopokea leo ni kuwa aliyekuwa video vixen Agnes Gerald maarufu Masogange amefariki dunia mchana wa leo. Wakili wa mlimbwende huyo, Roben Simwanza amethibitisha kutokea kwa kifo hicho majira ya saa 10 jioni leo Ijumaa April 20, 2018. Semwanza amesema…

Dalili zinazoashiria tatizo kwenye afya yako

Watu wengi wamekuwa na tabia ya kupuuzia baadhi ya dalili ndogo zinazojitokeza kwenye afya zao pasipo kujua chanzo hasa cha dalili hizo. Ifahamike kuwa tabia hii ni hatari sana kwa sababu matatizo yote makubwa ya kiafya huwa yanaanza na dalili…

KING MAJUTO ANAUMWA

Na Moshy Kiyungi, Tabora Imekuwa kawaida kuandika historia ya mtu pindi anapofariki. Katika makala hii namuangazia mwigizaji mkongwe wa Filamu na vichekesho Tanzania, Amri Athuman maarufu kama King Majuto. Mchekeshaji Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar…