Category: Siasa
Tamko ya Bodi ya Wadhamini MNH
Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika hospitali.
Vituko vya Jeshi la Polisi
*Lakodi kina mama ili wawapekue watuhumiwa Kituo cha Polisi Mbuguni, Arumeru Mashariki mkoani Arusha, kinalazimika kukodi wanawake wanaoishi jirani na kituo hicho ili kuwafanyia upekuzi watuhumiwa wanawake kabla ya kuwaweka mahabusu. Kukodiwa kwa kina mama majirani kunatokana na…
Bilionea akubaliwa kujenga uwanja Serengeti
Mamlaka zote za Serikali zimeridhia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mugumu, Serengeti mkoani Mara.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika
*Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno
Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini.
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
- Rais Dkt. Samia akiwaaga kwa kuwapungia mkono waumini wa Kanisa la Arise and Shine
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Comoro kesho
- Rais Dkt. Samia akihutubia mara baada ya kufungua Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar
- Viongozi mbalimbali wa dini na serikali wakati ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine Dar
- Dk Biteko : Tanzania ina usalama wa chakula, awapongeza wakulima
Habari mpya
- Rais Dkt. Samia akiwaaga kwa kuwapungia mkono waumini wa Kanisa la Arise and Shine
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Comoro kesho
- Rais Dkt. Samia akihutubia mara baada ya kufungua Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar
- Viongozi mbalimbali wa dini na serikali wakati ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine Dar
- Dk Biteko : Tanzania ina usalama wa chakula, awapongeza wakulima
- Ewura CCC: Wananchi wadai fidia wanapocheleweshewa kuunganishiwa maji kwa siku saba za kazi
- Wengi wavutiwa Banda la TPA maonesho Sabasaba
- Hafla ya ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine
- Dk Jingu atoa wito kwa wanafunzi Chuo cha Maendeleo ya Jamii ufundi Misungwi kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii
- Rais Samia akiteta jambo la mtume Boniface Mwamposa
- Rais Samia akikata utepe ufunguzi Kanisa la Arise and Shine
- PSPTB yatangaza mitihani ya 31 ya kitaaluma, usajili kufungwa Agosti 15
- FCC yawahamasisha wananchi kulinda afya na haki zao dhidi ya bidhaa bandia
- TEA kuanza na awamu nyingine mafunzo ya kuendeleza ujuzi
- Nishati safi ya kupikia ni ajenda ya dunia, Wizara inatekeleza kwa vitendo – Dk Kazungu