Category: Siasa
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika
*Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno
Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini.
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Quotes
Washington: Utumwa unanikera
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania. Hebu…
- Rais Samia athibitisha nia ya maridhiano kuelekea mchakato wa maboresho wa katiba, ateta na viongozi vyama vya siasa
- Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’
- Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji
- Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026 Kufanyika Tanga
- AFRICA AGRI EXPO 2026; Tanzania kuwa kitovu cha ubunifu wa kilimo Afrika
Habari mpya
- Rais Samia athibitisha nia ya maridhiano kuelekea mchakato wa maboresho wa katiba, ateta na viongozi vyama vya siasa
- Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’
- Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji
- Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026 Kufanyika Tanga
- AFRICA AGRI EXPO 2026; Tanzania kuwa kitovu cha ubunifu wa kilimo Afrika
- EWURA yawajengea uwezo maafisa wa huduma kwa wateja na mahusiano
- Prof.Mkenda: Bunifu za kitanzania sasa kugeuzwa kuwa biashara kubwa
- Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake
- Hospitali ya Medinova Yazindua Huduma ya Tibamazoezi (Physiotherapy)
- Asilimia 73.6 ya Mikopo ya TADB Yatolewa katika kipindi cha Uongozi wa Rais Samia
- Kunenge: Maofisa maendeleo wafuate dira ya taifa 2050 kuacha tabasamu kwa wananchi
- RC Mtanda: Boti za uokozi ni nguzo muhimu ya kuokoa maisha Ziwa Victoria
- RC Kunenge atembelea kongani mpya ya viwanda Misugusugu
- Serikali yaweka mkazo uendelevu wa huduma za VVU, kifua kikuu, malaria
- Mpanda wapongeza Jeshi la Polisi kwa zoezi la usafi wa soko kuu