Category: Siasa
Yah: Bidhaa feki na soko huru la Tanzania bila kipingamizi
Tangu nilipozaliwa hadi leo, sijapata kujiridhisha kama kweli naweza kula kitu ambacho kimetengenezwa kwa kemikali na mbwembwe nyingine, lakini kikawa na afya na virutubisho vya kweli katika mwili wangu. Sijawahi kufikiria kuwa naweza nikapata huduma mbalimbali kwa njia ya mkato…
ACT – Wazalendo, CKU – Tanzania vije na dira
Ni hivi karibuni, Watanzania tumeshuhudia kuanzishwa na kupokelewa vyama viwili vipya vya siasa nchini. Vyama hivyo ni Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) na Chama Cha Kijamaa na Uzalendo (CKU-Tanzania). Vyama hivyo vimepokewa na kusajiliwa rasmi na Msajili wa Vyama…
Kwanini wanaume wengi hujinyonga?
Utafiti umeonesha kuwa wanaume wenye umri kati ya 40-50 wamo katika hatari kubwa ya kujinyonga ikilinganishwa na wanawake. Kijana mmoja kutoka England, Simon Jack, amefanya utafiti huo baada ya baba yake kujiua katika siku yake ya kuzaliwa miaka 25…
Mkopo: Namna ya kuokoa nyumba, kiwanja kisiuzwe
Wakopaji nao wana haki zao. Yapo mambo ya msingi ambayo wanapaswa kuyajua ili yakulinde iwapo mambo yamewaendea vibaya. Ukweli ni kuwa ni busara unapokopa kulipa deni, lakini iwapo sababu za kibinadamu zimejitokeza, ambazo ziko nje ya uwezo wa mkopaji na…
Ugaidi Tanzania
Serikali imetakiwa iwe makini kuhakikisha inavitumia vyombo vyake vya ulinzi na usalama na wananchi kukabiliana na tishio la makundi ya kigaidi, hasa al-Shaabab kutoka Somalia. Mbunge wa Kigoma Kusini – NCCR-Mageuzi, David Kafulila ameliambia JAMHURI kwamba Tanzania inapaswa kuwa makini….
Amani Tanzania inatuponyoka taratibu
Kwa muda sasa nimefuatilia matukio yanayoendelea nchini. Nimesoma habari mbalimbali zinazoonesha askari polisi wakiuawa kwa risasi na kunyang’anywa bunduki katika maeneo kadhaa hapa nchini. Tumesikia ‘magaidi’ katika mapango ya Amboni Tanga. Vituo vya…