JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Rais safi inawezekana, tutimize wajibu

Mwaka 2015 una mshindo mkubwa kwa Watanzania, mshindo unaotokana na matendo matatu muhimu yanayowaweka wananchi katika hekaheka na fukuto la moyo.

Yah: Na mimi nataka ukuu wa wilaya siku moja?

NA BARUA YA S.L.P. Mzee Zuzu, C/O Duka la Kijiji Kipatimo, S.L.P. Private, Maneromango. Mtanzania Mwenzangu, Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http, Tanzania Yetu.         Kuna tetesi kwamba ukuu wa wilaya unagawiwa kama njugu na wanaosema hivyo labda wana taarifa kamili juu…

Mwaka mwingine wa kumkumbuka Mwalimu Nyerere

Katika sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, amenukuliwa akiwasihi wanachama wenzake kuhimiza kujitokeza mgombea atakayeiletea CCM ushindi kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.

Kama Muhimbili imeboreshwa, kwanini watibiwe ng’ambo?

Rais Jakaya Kikwete, anatibiwa nchini Marekani. Walimwengu wametangaziwa kwamba Rais wetu amefanyiwa upasuaji wa Tezi Dume. Naungana na wote wanaomtakia siha njema ili hatimaye arejee nchini salama.

Tatizo la Tanzania si Katiba

Ujio wa Katiba mpya unasubiriwa kwa shauku kubwa na wananchi ambao naweza kusema wanapenda kumaliza matatizo kwa njia za kujipa matumaini.

UDA yaondoa ngumi, ngono kwa wanafunzi Dar

Miaka kadhaa iliyopita, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam hawakuwa na uhakika wa kusafiri salama kutoka eneo moja kwenda jingine.

Hali hiyo ilichochewa na uhaba wa huduma za usafiri wa umma na za kiwango cha chini tofauti na majiji mengine kwenye mataifa mbalimbali barani Afrika, Ulaya na Marekani.