JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Tujifunze kusikiliza hoja za wengine

“Hatuna budi, hasa katika majadiliano na mazungumzo yanayohusu jumuiya, tujifunze kusikiliza hoja zilizotolewa na wenzetu, na kuzijibu kwa kuzikubali au kuzikataa, bila kujali kama aliyezitoa ni rafiki au si rafiki.”


Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania.

Dk. Mwakyembe sibipu, nakupigia mheshimiwa

Halo! Ni matumaini yangu kuwa uko hewani na unanisikia mheshimiwa. Nakuomba univumilie nimejiunga na mtandao wa Jamhuri kwa kuwa Voda, Tigo, Airtel na Zantel wameniambia salio langu halitoshi kuniwezesha niwe hewani kwa muda niutakao.

JAMHURI YA WAUNGWANA

 

Kwa mwaka Mtanzania hafanyi kazi kwa siku 140!

Makala yangu ya wiki iliyopita ya “Wakati mwingine Wakristo wanaanzisha chokochoko”, imepokewa kwa hisia tofauti na wasomaji wa safu hii.

Makala ililenga kupinga msimamo wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) wa kutaka Jumapili isitumike kwa kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa kama sehemu ya kupata Katiba mpya.

 

Mapambano dhidi ya wauza ‘unga’ ni mzaha mtupu

Nazungumzia Serikali inayoendesha mapambano dhidi ya dawa za kulevya. Nionavyo mimi ni mzaha mtupu. Ni sawa na kukumbuka kujifunika shuka wakati kumeshakucha.

Kabantega: Mzalendo anayekabiliwa na kifo kama Dk. Masau

*Ni bingwa wa kutengeneza test tube aliyetelekezwa

*Miaka 27 sasa anapigwa danadana na wakubwa serikalini

*Mitambo, malighafi alivyozawadiwa vinaozea bandarini

*Mwalimu Nyerere, Rais Kikwete, Lowassa walimkubali

*Umoja wa Mataifa, AU, Sudan Kusini, Rwanda wanamlilia

Mwaka 2009 nilikutana na Mtanzania aliyenivutia kwa ubunifu, uwezo wake wa kiakili, na zaidi ya yote ni uzalendo wake kwa nchi yake. Nikamwomba na yeye akakubali kufanya mahojiano. Lengo lilikuwa kuwawezesha Watanzania, hasa watu wenye mamlaka ya uongozi waweze kumtambua, kumsaidia na kumtumia ili ndoto yake itimie.

BARUA ZA WASOMAJi

 

Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji

Mheshimiwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, hongera kwa kazi, siwezi kukupa pole kwani kazi ni wajibu na kipimo cha mtu.