Category: Siasa
Katiba mpya iakisi uzalendo (1)
*Uraia wa nchi mbili haufai, tuuache
Baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa Rasimu ya Katiba mpya kwa wananchi kuitafakari, nchi nzima imelipuka. Natumia neno kulipuka kusisitiza furaha ya wananchi kwa tukio hili.
Barua ya wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
Mheshimiwa Rais Jakaya M. Kikwete, kwa unyenyekevu na heshima ninaleta ombi la kuonana nawe ana kwa ana nikueleze shida inayonikabili.
Obama ampandisha chati Lowassa
Hatua ya Rais wa Marekani, Barack Obama, kutembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion Ubungo jijini Dar es Salaam, imeamsha mjadala mzito katika jamii uliowafanya Watanzania kuanza kumhurumia Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, wakiona alionewa.
NUKUU ZA WIKI
Julius Nyerere: Mahitaji ya wananchi yalindwe
“Lazima tuendelee kuhakikisha kwamba mahitaji ya msingi ya watu wote yanapatikana na yanalindwa. Lengo letu lazima liendelee kuwa kuinua hali ya maisha ya kila mtu, na kila mtu aweze kupata huduma za msingi za elimu na matibabu.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Hoja ni kutii sheria, si kufuta kauli
Hivi karibuni niliandika makala nikizungumzia kauli za wanasiasa na athari zake kwa umma. Nilizungumza kuhusu kauli zinazochochea vurugu, migongano na kuleta chuki na uvunjifu wa amani.
Mandela alifunguliwa milango ya gereza, akagoma kutoka
Ikiwa Mungu atapenda, maana hadi tunachapisha makala haya, Mzee wetu, mwana wa kweli wa Afrika, Nelson Rolihlahla Mandela maarufu kama Madiba, wa Afrika ya Kusini, Alhamisi wiki hii atatimizi miaka 95 ya kuzaliwa. Mandela anaumwa akisumbuliwa na ugonjwa wa maambukizi ya mapafu na amelazwa katika hospitali moja jijini Pretoria, nchini humo.