JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

NUKUU ZA WIKI

Mwalimu Nyerere: Vyama vijihadhari kutumiwa

“Shughuli za demokrasia lazima ziwe kazi ya kudumu katika chama cha kidemokrasia na katika taifa la kidemokrasia, vinginevyo chama hicho wakati wote kitakuwa katika hatari ya kutumiwa na wakorofi wachache tu.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Tujifunze uzalendo, uchapaji kazi wa Wamarekani

Mwaka 2004 nilipata fursa ya kuzuru maeneo kadhaa nchini Marekani kwa muda wa takribani mwezi mmoja. Ilikuwa ziara nzuri. Nilijifunza mengi. Wasafiri wanasema kama hujafika Marekani, hujasafiri. Kauli hii inaweza kuwa ya kweli kwa sababu kuna mengi ya kustaajabisha na kutafakarisha – kuanzia kwenye maendeleo hadi tabia zao.

Mashabiki wa upinzani wajitazame upya

Tanzania ya leo inafuata mfumo wa vyama vingi. Katikati ya mfumo wa vyama vingi Watanzania wamegawanyika katika makundi makuu matatu.

fikRA YA HEKIMA

Watanzania na imani potofu ziara ya Obama

Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imenilazimu kuleta mada hii mapema tofauti na nilivyokusudia awali. Watanzania wengi wamezungumza ya moyoni mwao kuhusu ugeni huu.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Vyama viwasaidie wananchi kujiendeleza

“Lazima chama [cha siasa] kiwasaidie wananchi kujiendeleza na kupanua mawazo yao kwa kuwaelimisha, kwa kuwaunganisha kwa hiari katika shughuli zao za kujitegemea, na kadhalika.”

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kauli za wanasiasa zitaliangamiza taifa

Masuala yoyote yanayohusu taifa letu yasipoendeshwa kwa mtazamo chanya, hasa wa kifikra na kivitendo, tusitarajia kuwa na taifa lenye amani, upendo na umoja – tunu ambazo huzaa maendeleo ya taifa lolote duniani.