Category: Siasa
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama
“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”
Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
KAULI ZA WASOMAJI
Polisi iwakamate waliomuua Barlow
Ili Jeshi la Polisi liweze kujijengea hesima katika jamii, lioneshe makali yake katika kushughulikia mtandao wa mauaji ya RPC Liberatus Barlow, kufuatia maelezo yaliyotolewa na Malele.
Boniface Nyerere, Dar
Habari mpya
- Mwenyekiti ACT- Wazalendo aanza ziara ya maalum kukutana na wanachama Pemba
- Rais Dk Mwinyi amuapisha mwasheria mkuu wa Z’bar
- TEF: Poleni Watanzania, Tujisahihishe
- Kamati Kuu ya CCM yaja na maazimio haya
- Haya hapa matokeo darasa la saba
- Wageni 140 kutoka mataifa mbalimbali watembelea Hifadhi ya Kilwa Kusiwani
- CCM yafanya uteuzi wa wagombea nafasi za Spika na Naibu Spika
- Ajali ya ndege ya UPS, saba wafariki, 11 wajeruhiwa
- Rais Dk Samia amuapisha mwanasheria mkuu Hamza Johari
- Hali ya amani na utulivu yarejea , Serikali yawakaribisha wageni
- Wabunge wateule waitwa bungeni Dodoma
- Nchimbi aombewa na Dkt Mpango, aahidi kuendeleza mchango wake
- Rais Dk Samia akabidhiwa nyaraka
- Khamis Mgeja ameacha historia ya ujasiri, uzalendo
- Wananchi Stand ya zamani Kondoa mjini wakishiriki upigaji kura