Category: Siasa
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama
“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”
Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
KAULI ZA WASOMAJI
Polisi iwakamate waliomuua Barlow
Ili Jeshi la Polisi liweze kujijengea hesima katika jamii, lioneshe makali yake katika kushughulikia mtandao wa mauaji ya RPC Liberatus Barlow, kufuatia maelezo yaliyotolewa na Malele.
Boniface Nyerere, Dar
- Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,
- Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number
- Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi
- Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000
Habari mpya
- Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,
- Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number
- Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi
- Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000
- Dk Mwigulu akagua hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji Ruvu Chini
- Uboreshaji reli ya TAZARA, historia ya awamu ya sita na mpango mkakati
- TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo.
- Serikali SMZ yabadili jina la mashindano ya Mapinduzi Cup, sasa kujulikana NMB Mapinduzi Cup 2026
- Msigwa : Mkataba wa TAZARA na China utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania
- SGR yaomba radhi kwa abiria, yaongeza safari yaziada
- Dc Mpogolo atoa agizo kukamatwa waliofanya mauaji Buyuni
- TMA : Mvua kubwa yaathiri miundombinu ya SGR, kuendelea kunyesha kwa mikoa 20
- TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kwa mikoa 8 nchini
- Simbachawene : Mabadiliko makubwa kuligusa Jeshi la Polisi