Category: Siasa
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama
“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”
Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
KAULI ZA WASOMAJI
Polisi iwakamate waliomuua Barlow
Ili Jeshi la Polisi liweze kujijengea hesima katika jamii, lioneshe makali yake katika kushughulikia mtandao wa mauaji ya RPC Liberatus Barlow, kufuatia maelezo yaliyotolewa na Malele.
Boniface Nyerere, Dar
- Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia
- Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano
- Serikaki yadhamiria kumaliza changamoto ya usafiri Dar es Salaam
- HESLB inavyoshirikiana na wadau kuwawezesha wanafunzi kujitegemea kiuchumi
- Serikali yawashauri wananchi kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali
Habari mpya
- Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia
- Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano
- Serikaki yadhamiria kumaliza changamoto ya usafiri Dar es Salaam
- HESLB inavyoshirikiana na wadau kuwawezesha wanafunzi kujitegemea kiuchumi
- Serikali yawashauri wananchi kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali
- Fedha za miradi kimkakati ni kichocheo cha ajira na uchumi jumuishi
- Rais Samia aungana na waumini kumuaga Kardinali Pengo
- NMB yatoa bilioi 12.4 kwa wafanyabiashara 6,011
- Mfumo wa kidijitali wa elimu waamsha matumaini kufikia Dira ya Maendeleo 2050
- Rais Samia azungumza na mkuu wa WHO Kanda ya Afrika Prof. Janabi
- Jafo aendeleza Kampeni ya ‘Kila Mtu Atibiwe Kwao’ Kisarawe
- TRA yaja na utaratihu mpya wa ukusanyaji kodi bandari ya Bagamoyo
- Prof. Shemdoe ataka mageuzi ya uchumi wa vijijini kuhusisha uchumi wa buluu, ufugaji na mazao yake
- Makamu wa Rais aongoza kumbukizi ya miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Rais Samia ateta na Balozi wa Singapore nchini Tanzania