Category: Siasa
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
- Sangu azitaka kampuni kuzingatia sheria za kazi
- Dugange azitaka halmashauri kununua magari ya taka, kujenga madampo
- Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025
- Ngome ya wanawake ACT Wazalendo Machi 8 kuweka tabasamu kwa makundi mbalimbali
- Intracom kujenga mitambo mitatu zaidi kuongeza uchakataji wa madini ya Phosphate
Habari mpya
- Sangu azitaka kampuni kuzingatia sheria za kazi
- Dugange azitaka halmashauri kununua magari ya taka, kujenga madampo
- Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025
- Ngome ya wanawake ACT Wazalendo Machi 8 kuweka tabasamu kwa makundi mbalimbali
- Intracom kujenga mitambo mitatu zaidi kuongeza uchakataji wa madini ya Phosphate
- Serikali yajivunia mafanikio sektavya uchukuzi
- Dkt. Jafo afurahishwa na kasi ya Mkandarasi Mradi wa Maji Nyani
- RC Malima aipongeza REA utekelezaji miradi mikubwa ya umeme
- LHRC na PALU waiomba serikali kurejea Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na Watu
- Nchimbi awasili Songea kuhudhura Tamasha la Kumbukizi ya miaka 120 ya Mashujaa Vita ya Majimaji
- FCC: TANOGA inarahisisha ukaguzi wa bidhaa
- CCM yatoa salamu za rambirambi kifo cha Kadinali Pengo
- Kunenge: Viongozi Pwani kuweni wabunifu kuendana na kasi ya uchumi wa dunia
- Serikali kuimarisha elimu ya malezi kupitia kampasi ya Kisangara
- Rubio: Iran yatengeneza makombora yanayoweza kufika Marekani
Copyright 2025