Category: Siasa
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
- Serikali SMZ yabadili jina la mashindano ya Mapinduzi Cup, sasa kujulikana NMB Mapinduzi Cup 2026
- Msigwa : Mkataba wa TAZARA na China utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania
- SGR yaomba radhi kwa abiria, yaongeza safari yaziada
- Dc Mpogolo atoa agizo kukamatwa waliofanya mauaji Buyuni
- TMA : Mvua kubwa yaathiri miundombinu ya SGR, kuendelea kunyesha kwa mikoa 20
Habari mpya
- Serikali SMZ yabadili jina la mashindano ya Mapinduzi Cup, sasa kujulikana NMB Mapinduzi Cup 2026
- Msigwa : Mkataba wa TAZARA na China utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania
- SGR yaomba radhi kwa abiria, yaongeza safari yaziada
- Dc Mpogolo atoa agizo kukamatwa waliofanya mauaji Buyuni
- TMA : Mvua kubwa yaathiri miundombinu ya SGR, kuendelea kunyesha kwa mikoa 20
- TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kwa mikoa 8 nchini
- Simbachawene : Mabadiliko makubwa kuligusa Jeshi la Polisi
- Mwakinyo amchapa Mnigeria kwa KO
- ‘Kituo cha kupoza umeme Handeni kuleta mapinduzi ya uwekezaji’
- Watumia jina la Mchengerwa kuomba michango ya harusi kitapeli
- Mke wa mchungaji ajinyonga hadi kufa, chanzo chadaiwa kuwa ni madeni
- Serikali kufanya uchunguzi wa kina Hospitali ya Temeke
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
Copyright 2024