JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Killagane: Gesi imekomboa uchumi Tanzania

*Gesi ya 25,000/- itatosha kupikia hadi maharage miezi mitatu

*Dar es Salaam, Mtwara wanufaika, magari 50 yatumia gesi

 

Ugunduzi wa gesi asilia kwa wastani wa futi za ujazo trilioni 46.5 ni ukombozi wa wazi kwa uchumi wa Tanzania. Thamani halisi inayokisiwa kwa gesi hii ni karibu dola bilioni 500 za Marekani, kiwango ambacho ni mara 50 ya uchumi wa sasa. Kati ya gesi hii iliyogunduliwa Kijiji cha Msimbati, mkoani Mtwara, na maeneo mengine ya nchi, futi za ujazo trilioni 38.5 zipo katika kina kirefu cha maji na futi za ujazo trilioni 8 zipo nchi kavu. Kuna dalili za mafuta, ila hayajagunduliwa. Katika makala haya, JAMHURI imehojiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Yona Killagane, ambaye anaeleza mambo mengi ya msingi yenye kutia matumaini kuwa sasa neema iliyokuwa ikisubiriwa hatimaye imewasili Tanzania. Endelea…

Fedha zako ni kipimo cha imani yako

Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wetu. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mchakato wa Katiba mpya, lakini ninasikitishwa na namna mwenendo wa Bunge hilo ulivyo.

Wiki iliyopita tumeshuhudia mgogoro wa kimakundi uliosababisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao vya Bunge Maalum la Katiba.

Binafsi ninaamini kuwa pande zote zitakaa chini na kufikia mwafaka ili Taifa letu lipate Katiba mpya.

Sasa tuendelee na uchambuzi wa leo unaohusu uhusiano wa imani zetu na umilikaji fedha.

Nani analinda bodaboda Dar?

Moja ya mambo yaliyomfurahisha Mkata Mitaa (MM) ni hatua iliyochukuliwa na Serikali kupiga marufuku pikipiki maarufu kwa jina la ‘bodaboda’, mikokoteni (makuta), baiskeli na bajaj kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam.

MM amefurahishwa na mpango huo kutokana na boda boda kuwa kero kwa waendesha magari na waenda kwa mguu wanaotumia barabara za katikati ya jiji.

MKATA MITAA

WAWATA St. Joseph na bei za vyakula za ‘kitalii’

Kwa kawaida watu wanyonge wamezitambua nyumba za ibada kama sehemu ya ukombozi! Haishangazi kuwaona kina mama, kina baba, watoto, wazee na watu wasiojiweza wakikimbilia makanisani na misikitini kunapotokea vurugu.

Kujiajiri kunaanzia kwenye fikra

Kwanza, nianze kwa kutoa salamu za pongezi kwa Watanzania wote kwa kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru wa nchi yetu jana.

EFD kuongeza mapato ya Serikali wapiga kura

Serikali imeamua kuanzisha mfumo  wa uotoaji risti kwa kutumia Mashine za Kielekitroniki za Bodi (EFD). Kwa mujibu wavuti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mfumo huo  unachukuwa nafasi ya mashine za rejesta za fedha ambazo zimekuwa zikitumika zamani.

Mashine hizo hazikukidhi mahitaji yaliyotarajiwa ikiwa ni pamoja na kurahisisha mauzo kwenye sehemu za biashara.