Category: Uchumi
Mteja na Sayansi ya kununua
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa gazeti hili, pamoja na wapenzi wa safu hii. Kwa takribani wiki nne sikuwapo hewani kutokana na sababu kadhaa ikiwamo kutingwa na shughuli za kiujasiriamali.
Gesi yabadili utamaduni Mtwara
Wiki hii Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (pichani), amefanya ziara ya siku tatu mkoani Mtwara kuangalia maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi. Nimepata fursa ya kuwamo kwenye ziara hii. Nimeshuhudia mengi.
Tuwajali Mgambo
Mhariri,
Hoja yangu ni kuhusu Jeshi la Mgambo. Kauli ni jeshi la akiba. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi bila majibu, kaulimbiu ni jeshi la akiba, lakini si kweli, bali ni jeshi la kutelekezwa na kukamuliwa. Haliendani na kaulimbiu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Kuna umuhimu mkubwa sana kwa sekta binafsi kupitia kampuni mbalimbali au mtu mmoja mmoja, ikiwamo wananchi walio wengi vijijini kujiwekea mipango na malengo mazuri na kuweza kupanda miti kwa wingi. Kuna mahitaji makubwa ya mazao ya misitu — nguzo, mbao, kuni na mkaa. Endelea…
Napenda kuchukua fursa hii kuwafahamisha Watanzania walio vijijini na mijini kwamba misitu ya asili katika maeneo mbalimbali nchini imeharibiwa mno (highly degraded). Isitoshe, bado kasi ya uharibifu wa misitu ya asili ni kubwa kuliko unavyodhania maana matumizi ya mashine za moto (power or chain saws) yameongezeka sana.
KONA YA AFYA
Sababu za kupungua nguvu za kiume
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana hivi leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, ni tatizo linalowakabili wanaume wengi mno; wazee kwa vijana karibu kote duniani na hususan maeneo ya mijini zaidi.
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
- RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu
- Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili
- Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi
Habari mpya
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
- RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu
- Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili
- Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi
- Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika
- Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Rukwa
- Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi – Makonda
- Serikali kuimarisha upatikanaji haki kupitia Kampeni ya Msaada wa kisheria Dodoma
- UNESCO, MAIPAC waja na mwongoza kwa wanahabari, watengeneza maudhui jamii za pembezoni
- Serikali yawasilisha mipango 1, 082 ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini
- Pikipiki, Bajaji zisishikiliwe kwa makosa ya faini – Dk Mwigulu
- Watoto wachomwa moto kisa wizi wa ndizi, Sh 2,000
- Tusiwaachie walimu malezi, tujenge desturi ya kuwatembelea watoto shuleni
- Serikali yaelimisha wananchi biashara ya kaboni