JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Tony: Nauza kahawa na digrii yangu

*Ni mhitimu wa Chuo Kikuu Dar es Salaam

*Anauza kahawa stendi ya mabasi Ubungo

*Awaasa wasomi kutodharau kazi, aeleza mazito

Wakati vijana wengi waliohitimu elimu ya chuo kikuu wakikumbatia dhana ya kutarajia kuajiriwa serikalini na kwenye kampuni kubwa, hali ni tofauti kwa Tony Alfred Kirita, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

Utata wagubika mradi wa umwagiliaji Nyamboge-Nzera

Ndoto ya wakazi wa vijiji vya Nyamboge na Nzera katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita ya kuendesha kilimo cha umwagiliaji imepotea.

TBS yadhibiti uharibifu injini za magari

Kuzinduliwa kwa mtambo mpya wa kupima mafuta kunaashiria kwisha kwa tatizo la muda mrefu la kuharibika kwa injini za magari yanayotumia mafuta ya petroli nchini. Mtambo huo wa kisasa uliozindulia wiki iliyopita na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda,  jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa mitambo inayopima mafuta ya magari iliyopo katika maabara ya kemia.

FASIHI FASAHA

Tusizikwe tungali hai – 2

Katika sehemu ya kwanza niligusia watangazaji wastaafu na chama chao VEMA, dira na malengo ya sera ya habari na utangazaji, na watangazaji wa ‘dot com’ na vyombo vya utangazaji. Dhana hizo tatu zimo katika mgongano wa mawazo kuhusu kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha Watanzania.

Yah: Tunashindwaje kukabili vifo vya kujitakia?

Nataka niwe mtu wa tatu kupigana na utaratibu wa maisha ya Mtanzania kuwekewa mazingira ya kifo ambayo hakustahili, mazingira haya yanatayarishwa bila mtayarishaji na anayetayarishiwa kujua kuwa anaandaliwa mazingira ya kifo.

KONA YA AFYA

Vidonda vya tumbo na hatari zake (9)

Katika sehemu ya nane ya makala haya, Dk. Khamis Zephania alizungumzia pamoja na mambo mengine, madhara ya kazi za usiku, makundi ya damu na uhusiano wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea na sehemu hii ya tisa…