Category: Uchumi
Kweli Tanzania si shamba la bibi?
Toleo lililopita kupitia gazeti hili nilitoa makala yenye ushauri kwa Rais Jakaya Kikwete asizungumzie usalama wa nchi nyingine na ajikite kutatua matatizo ya kiusalama na tishio la kutoweka kwa amani kwenye nchi yetu kabla ya kuwashauri viongozi wa nchi nyingine.
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
- Soma Gazeti la Jamhuri Juni 16- 22, 2026
- PSSSF yawaasa wabunge kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi za ndani kukuza viwanda, ajira
- Kiwanda kikubwa cha kuzalisha bidhaa za chuma kujengwa Nala, jijiji Dodoma
- Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia
- Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora
Habari mpya
- Soma Gazeti la Jamhuri Juni 16- 22, 2026
- PSSSF yawaasa wabunge kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi za ndani kukuza viwanda, ajira
- Kiwanda kikubwa cha kuzalisha bidhaa za chuma kujengwa Nala, jijiji Dodoma
- Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia
- Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora
- Marekani na Iran zimekubaliana kusitisha vita
- Serikali yaendelea na mkakati wa Sinza kuwa kitovu cha makazi ya kisasa
- Rais Samia kupokea gawio la Serikali Juni 30 Ikulu Dar
- Italia kuwekeza biashara ya kaboni Tanzania
- Uwanja wa ndege Kimataifa wa Msalato Dodoma kukamilika Septemba
- Mgongano wa maslahi watajwa kurudisha nyuma maendeleo
- Imani potofu zinavyoweka hatarini maisha ya watoto wenye ugonjwa wa sikoseli Tanzania
- Wataalamu kutoka Uganda, Kenya watembelea TMA kujifunza mifumo ya tahadhari za mapema
- Tamasha la Kahawa lawavutia watu maarufu wa Korea Kusini kutembelea Tanzania
- Wachimbaji watakiwa kujiunga WFC