Category: Uchumi
Kweli Tanzania si shamba la bibi?
Toleo lililopita kupitia gazeti hili nilitoa makala yenye ushauri kwa Rais Jakaya Kikwete asizungumzie usalama wa nchi nyingine na ajikite kutatua matatizo ya kiusalama na tishio la kutoweka kwa amani kwenye nchi yetu kabla ya kuwashauri viongozi wa nchi nyingine.
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
- Kuelekea uzalishaji megawati 8,000 ifikapo 2030, Salome akaribisha wawekezaji
- Kikwete ahimiza Tanzania na Japan kuimarisha ushirikiano katika usalama wa chakula na uchumi wa buluu
- Viongozi mbalimbali wamfariji Dk Samia nyumbani kwake Kizimkazi Zanzibar
- Makamu wa Rais aagwa rasmi na Wizara ya Nishati
- Tanzania yakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kuwekeza sekta ya nishati
Habari mpya
- Kuelekea uzalishaji megawati 8,000 ifikapo 2030, Salome akaribisha wawekezaji
- Kikwete ahimiza Tanzania na Japan kuimarisha ushirikiano katika usalama wa chakula na uchumi wa buluu
- Viongozi mbalimbali wamfariji Dk Samia nyumbani kwake Kizimkazi Zanzibar
- Makamu wa Rais aagwa rasmi na Wizara ya Nishati
- Tanzania yakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kuwekeza sekta ya nishati
- Mwigulu amwakilisha Rais Dk Samia ufunguzi Mkutano wa Kimataifa wa Huduma za Afya ya Msingi
- Kuuza au kununua umeme kutaongeza mapato ya taifa na kuimarisha usalama wa nishati nchini
- OTR kuongeza kasi ya mageuzi ili kukuza tija ya uwekezaji
- Ulega: Pwani kituo cha vifaa vya dharura wakati wa mvua za El Nino
- Rashal yaharakisha ujenzi wa Bomba la Gesi Kisemvule – Mbagala
- VETA Dar kuanzisha mafunzo ya urejelezaji taka kuchochea ajira
- NMB yaweka milioni 165 kusukuma mauzo Kariakoo
- Meya Kibaha akabidhi mashine ya photocopy Mwambisi, kupunguza mzigo kwa wazazi
- Ridhiwani Kikwete ahani msiba wa mwenza wa Rais Samia
- Rais Dk Mwinyi akutana na Rais Ndayishimiye Ikulu Zanzibar