Category: Uchumi
Kweli Tanzania si shamba la bibi?
Toleo lililopita kupitia gazeti hili nilitoa makala yenye ushauri kwa Rais Jakaya Kikwete asizungumzie usalama wa nchi nyingine na ajikite kutatua matatizo ya kiusalama na tishio la kutoweka kwa amani kwenye nchi yetu kabla ya kuwashauri viongozi wa nchi nyingine.
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
- Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi
- PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
- RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
Habari mpya
- Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi
- PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
- RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
- RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu
- Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili
- Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi
- Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika
- Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Rukwa
- Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi – Makonda
- Serikali kuimarisha upatikanaji haki kupitia Kampeni ya Msaada wa kisheria Dodoma
- UNESCO, MAIPAC waja na mwongoza kwa wanahabari, watengeneza maudhui jamii za pembezoni
- Serikali yawasilisha mipango 1, 082 ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini
- Pikipiki, Bajaji zisishikiliwe kwa makosa ya faini – Dk Mwigulu