Category: Makala
HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (13)
Unapanga na Mungu anapanga “Mja hutaka, Mola hujalia.” Ni msemo wa Waingereza. Katika mipango yetu ni vizuri kumuingiza Mungu. “Ukitaka Mungu acheke, mwambie juu ya mipango yako,” anasema Woody Allen. Ukipanga mipango usisahau kusema: “Mungu akipenda.” Bila maneno hayo unamchekesha…
Kwa hili RC Chalamila amepatia
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, huwa hakosi vituko! Wengi wetu tulitarajia wiki iliyopita afungue mwaka mpya wa 2020 kwa kituko! Hakufanya hivyo! Badala yake ameukaribisha mwaka kwa kutoa maelekezo mazuri yanayopaswa kuungwa mkono, si Mbeya pekee, bali nchini…
Ukarimu ni mzuri, ubahili ni mbaya
Binadamu anaweza kuwa na tabia ya ukarimu au ya ubahili katika kuweka uhusiano mzuri au mbaya na wanadamu wenzake. Ukarimu unajenga na unaenzi, na ubahili unaharibu na kubomoa uhusiano kati ya wanadamu. Hadhari kwa binadamu haina budi kutangulia kukinga ubaya…
Yah: Vita ya nje itatuathiri kama hatujitegemei
Kuna msemo wa Kiswahili kwamba wagombanapo fahali wawili ziumiazo ni nyasi. Nimeukumbuka msemo huu kutokana na malezi yetu ya ufugaji na uchungaji wakati huo, hasa pale ambapo tulikuwa tukikutanisha madume wawili wa ng’ombe au mbuzi wapigane. Ukweli ni kwamba chini…
Mafanikio katika akili yangu (13)
Katika toleo lililopita sehemu ya kumi na mbili tuliishia katika aya isemayo: “Mimi ninaitwa Penteratha,” alisema. Profesa alipokuwa akiwatazama nyuso zao akagundua walikuwa na furaha halisi kutoka mioyoni mwao. Sasa endelea… Penteratha akiwa anaendelea kuzungumza na Noel, profesa alimuuliza: “Hivi…
KIJANA WA MAARIFA (10)
Akiba haiozi, wekeza ukiwa kijana Wanasema akiba haiozi na ikioza hainuki. Nitafanya makosa makubwa kama nikiandika mambo mengi kuhusu vijana na nikakosa kuongelea kuhusu kijana na uchumi. Ni wazi kwamba pesa katika maisha yetu haikwepeki. Tangu unapoamka mpaka pale unaporudi…