JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

MAFANIKIO KATIKA AKILI YANGU (9)

Na Phabian Isaya Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Simuoni siku kadhaa sijui amepotelea wapi? alisema kijana wake aliyekuwa na dharau kwa kijana Noel. Alikuwa hamuamini kwa lolote na alimuona kama bango bovu lililofutika maandishi. Sasa endelea…. “Mmmh! Vijana…

Uamuzi wa Busara (2)

Wiki iliyopita katika kitabu hiki cha ‘Uamuzi wa Busara’, tulisoma kuhusu uamuzi wa Mwalimu Nyerere kuacha kazi ya ualimu ili apate nafasi ya kuendesha siasa za kuikomboa nchi. Katika maandiko hayo tuliishia sehemu ambayo wajumbe watatu waliotumwa na gavana wa…

Shida kama hizi hazitakwisha Chadema

Ninaitaja Chadema na kuitolea mfano kwa sababu sasa hivi ndicho chama ambacho kinakabiliwa na tatizo ninalotaka kulizungumzia.  Pamoja na Chadema, karibu vyama vingine vyote vimepitia tatizo la watu kujiunga navyo kisha baadaye kuamua kuachana navyo. Hivi sasa nchi inazungumzia hatua…

Rais Magufuli usiogope, tembea kifua mbele

Mwezi mzima wa Oktoba tumeadhimisha na kushiriki kwenye makongamano mbalimbali ya kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa.  ‘Vumbi’ la makongamano na maneno mengi kwenye vyombo vya habari, mitandaoni na vijiweni sasa limetulia, lakini limeacha mambo ya…

Rais wangu utatukuzwa kwa mema yako (2)

Baba Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, mjukuu wako, yaani binti yangu amejiunga Chuo Kikuu Mlimani kwa mwaka wa kwanza akichukua Sayansi na Teknolojia. Amesoma  kidato cha tano na cha sita Ifakara High School – shule ya Serikali. Amenyimwa mkopo eti zamani…

Viongozi wa dini tuzingatie mamlaka ya kimaadili

Mamlaka ya kimaadili ni ile hali ya mtu kuwa na tabia njema zinazoifanya jamii kumheshimu, kumuamini na kumthamini na kuwa chanzo cha mwongozo au mfano wa mwenendo sahihi kwa jamii.  Huyu ni mtu ambaye anamiliki sifa ya kuwa na maarifa…