JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Hali zinabadilika, mabadiliko ni muhimu

Desemba 13, mwaka huu itatimia miaka 27 tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliposema: “Hali zinabadilika. Tuendelee na chama kimoja cha siasa ama tuwe na vyama vingi vya siasa.” Maelezo haya aliyatamka Desemba 13, mwaka 1991 alipozungumza na…

Yah: Tuna vituko hadi kichekesho

Uswahili ni uungwana na hata kama jana tumeonana si vibaya leo tukajuliana hali na salamu, ukizingatia maisha ni mafupi na mtu husafiri na kifo chake, hii si busara kujua unahitaji kuangalia uzao wako na sasa mmebaki wangapi mtaani au kijijini…

CCM, wembe ubaki ule ule

Taarifa kwamba Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, kumtaka aliyekuwa mgombea wa urais wa CCM, Bernard Member kufika ofisini kwake kujibu tuhuma za kuendesha mikakati ya “kukwamisha” juhudi za Rais John Magufuli zimepandisha kidogo joto la…

Jitofautishe, fanya kitu fulani

“Kama unafikiri wewe ni mdogo kiasi cha kuleta tofauti, haujawahi kukesha usiku kucha ukiwa na mbu,” ni methali ya Kiafrika. Mbu ni viumbe wadogo sana, lakini wakati wa usiku tukiwa tumelala huwa wanafanya maajabu makubwa. Unaweza kuwa umelala na haujashusha…

Zitambue dalili za sonona

Mwanamke mmoja kati ya watano, na mwanamume mmoja kati ya 10 wamewahi kupata sonona katika jamii zinazotuzunguka na kuleta matokeo hasi katika maisha yao. Takwimu hizi zinadhihirisha kuwa wanawake ndio wahanga wakubwa wa janga hili. ‘Depression’ ni neno la kisayansi…

Bravo: Rais Magufuli (2)

Sehemu ya kwanza, mwandishi wa makala hii alieleza namna wakoloni walivyoleta elimu kwa ajili ya kuwapumbaza Waafrika na kuwafanya wapuuze asili yao. Alieleza namna mkurugenzi wa kwanza wa elimu aliyeitwa Stanley River-Smith alivyokuja mwaka 1920 na kusimamamia utekelezaji wa sera…