JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Sheria inapomtambua mvamizi wa ardhi

Ni muhimu kutahadharishana kuhusu jambo hili. Kitaalamu jambo hili huitwa ‘adverse possession.’ Ni kanuni ya kisheria. Ni wakati ambapo mtu au watu wanavamia ardhi yako, lakini baada ya muda wanahesabika kuwa ni wamiliki halali. Na wanatambuliwa hivyo na sheria na…

MAISHA NI MTIHANI (4)

Malezi ya watoto ni mtihani. Maisha ya mtoto ni kama karatasi nyeupe ambapo kila mpita njia anaacha alama. Kwa msingi huo malezi ya watoto ni mtihani, maana kila mpita njia anaweza kuacha alama hasi au alama chanya. Kusema kweli anayetoka…

Maisha bila maadui hayana maana (2)

Kutokusamehe kunaweza kukuangamiza wewe binafsi; kucheua ubaya uliotendewa, kulea uchungu, ni kudonoa kwenye donda lililo wazi na kukataa kuliruhusu lipone. Kuendelea kwetu kucheua kukwazika, kubaki kwetu katika uchungu nafsini mwetu, mawazo yaliyojaa chuki, kutaka kwetu kulipa kisasi, hakumuumizi kabisa mtu…

Mikiki ya Chuo Kikuu Huria

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Elifas Bisanda, amezungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu historia, mafanikio, changamoto na hatima ya chuo hicho. Mwandishi MANYERERE JACKTON, aliyezungumza naye, analeta maelezo ya Profesa Bisanda neno kwa neno. Endelea……

Jifunze kufikiri

Kuna wakati utahitaji kutumia akili za ziada zaidi ya kutumia akili za darasani. Ni watu wachache mno ambao wana uwezo huo. Tunaweza kusema watu hawa ni watu “waliojiongeza” kiakili. Watu wa namna hii ni watu wanaofikiri. “Palipo na mafanikio: Watu…

Tumejipanga kuvuka nje ya mipaka

Mwezi huu, Novemba 5, 2018 Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Magufuli ilitimiza miaka mitatu madarakani. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Sam Kamanga, amesema Rais Magufuli amesaidia kufufua shirika hilo. Katika mahojiano na JAMHURI,…