JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Utapeli wa viwanja balaa Moshi

MOSHI    CHARLES NDAGULLA Eneo la Njiapanda katika Mji Mdogo wa Himo, mkoani Kilimanjaro linalosifika kuwa kitovu cha biashara ya magendo, hasa mahindi, yanayosafrishwa kwenda nje ya nchi kwa njia za panya, sasa limeongezewa sifa nyingine.   Sifa hii ya…

Hisia ovu za kishirikina zinavyosumbua jamii Bukoba Vijijini

Na Prudence Karugendo   KAMULI ni kijiji kilichomo Kata ya Kibilizi, Tarafa ya Rubale,  Bukoba Vijini, mkoani Kagera. Kwenye kijiji hicho kumejitokeza hisia na imani za kishirikina ambazo zimeanza kuwafanya wananchi kukosa amani na kuanza kuishi kwa mashaka makubwa kwa…

Ngeleja: Escrow haijaniyumbisha

Na Thobias Mwanakatwe   JINA la William Mganga Ngeleja lilianza kufahamika zaidi ndani na nje ya nchi mara tu baada ya kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2005 katika Jimbo la Sengerema, mkoani Geita na kuwashinda wagombea wenzake…

Lugha isivunje nguzo zetu za Taifa

Na Angalieni Mpendu Lugha yoyote ni chombo cha lazima kwa mawasiliano na uelewano kati ya wanadamu. Lugha ikitumika vizuri na kwa ufasaha katika kundi moja na jingine au Taifa moja na taifa jingine huleta tija, maendeleo na uhusiano mwema. Ikitumika…

Yah: Tukumbushane mambo muhimu, tusidanganyane na umamboleo

Siku zote nawaambia kwamba miye umri ulinitupa mkono lakini kila siku napenda kuenzi kazi za mikono na thamani ya watu muhimu waliolitendea mema Taifa hili, thamani yao itazidi kuwa na maana kama sisi tuliopo tutaenzi na kuthamini kwa maana ya…

Wamiliki vituo vya mafuta walia na TRA

Wakati Serikali ikiendelea na kazi ya kuvifunga vituo vya kuuza mafuta nchini, Chama cha Wamiliki wa Vituo vya Mafuta (TAPSOA) kimebainisha sababu za kutoanza kutumia mashine za kielektroniki za kutolea risiti kwenye pampu (Electrical Fiscal Petrol Printers-EFPPs). Katibu Mkuu wa…