Category: Makala
Je, katiba inanyumbulika? -(2)
Naam, hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya mjadala kuhusu kauli ya Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya pili nchini, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyoitamka katika salamu za Idd el Fitr, Jumatatu, Juni 26, 2017 Jijijni Dar…
Yah: Wenye nia ya biashara nawafanye biashara
Kuna wakati nafikiria kama hii Tanzania niijuayo mimi inaweza ikarejea na kuwa ile ya neema ya kula asali na maziwa, ni kama mawazo potofu ambayo kimsingi yanaweza kuwa kweli, huwa naikumbuka sana Tanzania ya kima cha chini Sh 250/- ambayo…
Serikali yampatia tuzo Dk. Jane Goodall
Huwezi kuzungumzia kuhusu Hifadhi za Taifa za Gombe, pamoja na ile ya Milima ya Mahale, bila kutaja jina la Dk. Jane Goodall, ambaye ametumia miaka zaidi ya 57 katika kutafiti maisha na tabia za sokwe. Katika kutambua jitihada zake, Serikali…
Bandari yaboresha huduma
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeanza kuwa na mabadiliko makubwa ya kiutendaji katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Katika kudadisi hilo, Mwandishi Maalum amefanya mahojiano na Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit C.V. Kakoko yanayobainisha hatua baada ya nyingine juu…
Ndugu Rais simama mwenyewe baba
Ndugu Rais, wako watu wema wengi sana katika nchi hii ambao wana fikra nzito zilizo juu ya vyama vya siasa. Kwao wao ni nchi yangu kwanza! Na kama mkosi vile wako pia watu wenye fikra finyu kabisa ambao fikra zao…
Wanaume tuzungumze kuhusu ukosefu wa nguvu zetu za kijinsia
Wanaume wengi wanapitia matatizo mbalimbali yanayohusiana na ukosefu wa nguvu za kiume katika kipindi tofauti, hasa wanapofikia umri wa utu uzima unaokaribiana na uzee, hata hivyo matatizo haya mara nyingi husababishwa na magonjwa mengine. Ukosefu wa nguvu za kiume ni…