Category: Makala
Lugha isivunje nguzo zetu za Taifa
Na Angalieni Mpendu Lugha yoyote ni chombo cha lazima kwa mawasiliano na uelewano kati ya wanadamu. Lugha ikitumika vizuri na kwa ufasaha katika kundi moja na jingine au Taifa moja na taifa jingine huleta tija, maendeleo na uhusiano mwema. Ikitumika…
Yah: Tukumbushane mambo muhimu, tusidanganyane na umamboleo
Siku zote nawaambia kwamba miye umri ulinitupa mkono lakini kila siku napenda kuenzi kazi za mikono na thamani ya watu muhimu waliolitendea mema Taifa hili, thamani yao itazidi kuwa na maana kama sisi tuliopo tutaenzi na kuthamini kwa maana ya…
Wamiliki vituo vya mafuta walia na TRA
Wakati Serikali ikiendelea na kazi ya kuvifunga vituo vya kuuza mafuta nchini, Chama cha Wamiliki wa Vituo vya Mafuta (TAPSOA) kimebainisha sababu za kutoanza kutumia mashine za kielektroniki za kutolea risiti kwenye pampu (Electrical Fiscal Petrol Printers-EFPPs). Katibu Mkuu wa…
Wasusia shughuli za kisiasa, kisa ukosefu huduma za jamii
Wananchi wa Kata ya Makata katika Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi, wamesema hawatashiriki shughuli za kisiasa kwa madai ya kutelekezwa na wanasiasa na Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kutowapelekea huduma za kijamii kwa muda mrefu, JAMHURI limeambiwa. Wamesema mgomo huo…
Ndugu Rais na haya ndiyo maombi ya watu wako
Ndugu Rais kwa jitihada zako binafsi wengi wameona nidhamu katika kazi imeanza kurejea. Utendaji kazi kwa baadhi ya viongozi katika awamu iliyopita ulikuwa ni wa hovyo sana! Wananchi wanaona leo unatumbua hapa, kesho unapalilia pale na ukiona vipi, unasema liwalo…
Uchawi upo au haupo? Uchawi upo
Ndugu msomaji, sikulazimishi kuamini ninachokiamini mimi, ila ninakushawishi kukitafakari ninachokiandika. Mjadala huu ni maoni na mtazamo wangu siyo tamko la dini fulani na siy tamko la gazeti hili la JAMHURI. Ndugu msomaji, kumbuka kwamba hakuna mtu mjinga kuliko mwingine, na…