Category: Makala
Nimeelimisha, nimehadharisha na nimeonya kuhusu Loliondo
Kuna taarifa zisizo na shaka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amehakikisha anapeleka taarifa ya ‘kutungwa’ kwa Waziri Mkuu. Amependekeza Pori Tengefu la Loliondo lifutwe, badala yake kuanzishwe Hifadhi ya Jamii (WMA). Haya ni mapendekezo yake, wala si…
Yah: Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga, dugu moja
Nianze waraka wangu wa leo kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kunipa uhai mrefu wa kuweza kuyaona mambo ya dunia hii ya awamu mbalimbali na mambo tofauti, yanayoleta changamoto katika kichwa changu. Huwa nawaza sana juu ya vitukuu vyangu vitaionaje dunia ambayo…
Hofu kutawala nchi ni hatari
Watanzania tumepata kusikia na baadhi yetu wamekumbwa na vitendo vya kubakwa, kutekwa, kujeruhiwa na wengine kuuawa. Tunadhani vitendo hivi viovu vina asili ya uendeshaji maisha au ukinzani wa kisiasa ndani ya nchi yetu. Ukweli tumeingiwa na hofu, hata kudhania kwamba…
Watanzania tunahitaji kuongeza uelewa wetu wa sheria
Kwa siku chache juma lililopita nimetoa darasa fupi juu ya sheria ya kutunza kumbukumbu za waasisi wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na Sheikh Abeid Amani Karume. Hii sheria inajulikana kwa Kiingereza kama Founders of the Nation (Honouring Procedures) Act…
Wasanii wanaharibu utamaduni wetu
Leo nimeona nijiegemeze katika tasnia ya maigizo ya hapa Tanzania. Tangu kuwasili kwa utandawazi katika upwa wa Afrika Mashariki mwanzoni mwa miaka ya 1990s, kufunguliwa kwa milango ya soko huria, tasnia ya maigizo nayo haikuwa nyuma. Mabadiliko makubwa tukaanza kuyashuhudia…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 42
2. Mapokezi kuu Mapokezi Kuu ndiyo kitovu cha kupokelea wagonjwa wote wanaopelekwa Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi. Wagonjwa hao ni wale ambao maradhi yao yanahitaji utaalamu wa juu au vifaa vya kisasa ambavyo havipatikani hospitali nyingine zaidi ya Muhimbili….