Category: Makala
Vita dawa za kulevya si ndogo
Nakubaliana na kauli ya viongozi, ikiwa ni pamoja na ya Rais John Magufuli, kuwa vita dhidi ya dawa za kulevya si jambo dogo. Alitamka: “Hii ni vita kubwa na siyo suala la mzaha. Ni lazima tuisimamie kwa nguvu zote.” Ni…
Mwenye nyumba ana hatia ikiwa mpangaji anahusika na dawa za kulevya
Wenye nyumba hawako salama ikiwa wapangaji wao ni wahusika wa dawa za kulevya. Ni muhimu kulijua hili ili kujihadhari na kile kinachoweza kukuletea madhara. Sheria mpya ya kupambana na kuzuia dawa za kulevya – ‘The Drug Control and Enforcement Act,…
Mgogoro wa Israel na Palestina -7
Wiki iliyopita katika sehemu ya sita tulishuhudia mchango wa Uingereza katika mgogoro wa Israel na Palestina. Leo, tunakuletea sehemu ya saba ya makala hii inayosimulia mgogoro huo. Endelea… Norman Benwitch, Muyahudi-Mzayuni ambaye alishika wadhifa kwa muda mrefu katika ofisi…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 33
Taratibu za kupata hati ngumu Mwaka 1979 Dar es Salaam ilikuwa na maeneo 80 ya wazi kwenye Master Plan. Maeneo haya yalikuwa kwa manufaa ya umma – viwanja vya michezo, burudani, shule, masoko, zahanati na kadhalika. Hivi sasa maeneo hao…
Viongozi wa Serikali wanapojenga mnara wa Babeli Loliondo
Kiongozi bora hafinyangwi wala hachongwi, bali huzaliwa na karama ya uongozi. Kiongozi bora ni mtumishi wa umma anayeongoza watu kwa hekima na busara. Mtawala ni mheshimiwa kwa watawaliwa. Wapo baadhi ya wanadamu miongoni mwetu ambao kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu…
Ndugu Rais tukipuyanga mbuzi wa masikini hatazaa!
Ndugu Rais, wako watu walisema mbuzi wa masikini hazai. Wengine wakaongeza eti akizaa huzaa mwaka wa njaa! Ukiuliza ni akina nani hao wanaosema hivyo, utajibiwa eti ni wahenga ndiyo walisema. Sikubaliani nao hata kidogo. Busara za wahenga hazipishani na ukweli!…