JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Niamshwe kukicha kama kweli nimelala

Inawezekana huwa sipati usingizi, ninaota huku nikiwa macho makavu lakini naamini ninachokiona katika njozi zangu kina nasaba na ndoto ya maisha halisi yanayonigusa mimi na Watanzania wengine wengi. Hii ndiyo Tanzania hata kama ni ya ndoto lakini ndiyo Taifa langu…

Chama ni mali ya wanachama

Mimi ni miongoni mwa baadhi ya wananchi wanaotoa heko na kongole kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli, na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwa kufanya mabadiliko ya muundo na uongozi wa chama hicho…

Nyenzo muhimu ya kuongeza kasi ya maendeleo ni kurudi kijijini

Katika siku za hivi karibuni, nimekuwa nakumbuka wimbo niupendao wa gwiji la muziki, Ramadhani Mtoro Ongala ‘Dk Remmy’, ‘Narudi nyumbani’. Aliimba kuwa anarudi Songea, anarudi Mlale, anarudi kijijini kwa sababu maisha ya Dar es Salaam yamemshinda, akikiri kuwa nyumbani ni…

Siku sita za kupanda Mlima Kilimanjaro

Wakati Rais John Magufuli akikagua gwaride la maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru, kundi la wanahabari, askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na wanadiplomasia walikuwa kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Safari hiyo ilianza mapema Desemba…

Madereva wa vigogo vinara uvunjaji sheria

Baadhi ya madereva wa magari ya viongozi wa serikali wanatajwa kuwa katika orodha ya madereva wanaongoza katika makosa mbalimbali ya uvunjaji wa sheria za barabarani Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kampuni ya Prescanne Business Enterprises Limited, Adelardo Marcel, amesema…

Hotuba ya Rais Magufuli Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika

Mheshimiwa Samia Suluhu, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiwa wa Baraza la Mapinduzi,  Mheshimiwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mheshimiwa Ali Hassan…