JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Silaha yetu umoja na amani

“Mwezi Julai 1959 wakati wa kushangilia siku ya Saba Saba, Rais wa Chama, Julius Nyerere, aliweza kutamka; “Silaha ya amani tuliyotumia; njia ya Katiba ya juhudi zetu; uwazi wa nia zetu na jinsi tulivyotoa madai yetu bila uoga, umeleta sura…

Yatakayomkwamisha Rais Magufuli… (2)

“Tanzania sawa na Hamaphrodite anayeona aibu kujitangaza” Nakiri kutoka moyoni kwamba simtakii mabaya Rais Magufuli wala simtabirii kushindwa, sitafurahi akikwama kuifanyia nchi yetu jema lolote alilodhamiria.Nayaweka wazi mazingira yanayoweza kumkwamisha ili akiweza ajiepushe. La kwanza linaloweza kumkwamisha ni kuthubutu kuurudisha…

Sheria ya mito na bahari…2

Sababu ya Ukoloni  Mamboleo ni hiyo hiyo: ni kulinda  mirija ya wakubwa. Na madhali mirija ya wakubwa inalindwa, wakubwa wataendelea kutajirika na nyinyi waswahili mtaendelea kuwa masikini. Hivyo ndiyo sababu ya kwanza ya unyonjaji. Sababu ya pili ni ile ambayo…

Afrika irejee misingi yake

Kwa wale Watanzania waliokuwapo kwenye ile miaka ya mwanzo ya uhuru wa nchi yetu, bado watakuwa na kumbukumbu ya wimbo ufuatao. “Bara la Afrika twalilia ukombozi;  Ukoloni mbaya na ubaguzi wa rangi; Mataifa hayo ya Ulaya ndiyo Afrika kuivamia;  Mababu…

Ndugu Rais, nchi inawayawaya kwa kukosa busara

Ndugu Rais, mtikisiko uliosababishwa na ukuta wa Septemba mosi, umeitikisa nchi yetu vibaya! Nchi imetapatapa na kuyumbayumba na sasa nyufa zimetokeza! Ni ukweli kwamba tangu tupate Uhuru wananchi hawajawahi kushuhudia serikali yao ikitetemeshwa kwa hofu kama ilivyotetemeshwa kuelekea tishio la…

Malumbano ya ‘Tuepuke sumu hizi’

Nimebahatika kuletewa malumbano ya baadhi ya wasomaji wa makala yangu juu ya “Tuepuke sumu hizi” katika Jamiiforums. Mimi sielewi wasomaji hawa wanapotezaje muda kuoneshana nani kasoma nini, na nani hawezekaniki kitaaluma. Mimi nilijiandikia hali niionayo kimtazamo wangu. Watanzania kweli tuna…