Category: Makala
Yah: Maoni ya wananchi ya miswada mbalimbali ya sheria inayopitishwa
Kwa kawaida, Mtanzania ninayemjua mimi, kalelewa katika mazingira ya kuhoji kila kitu hata ambacho jibu lipo wazi, atahoji ili apate jibu la pili ambalo halina tofauti na jibu la kwanza, Mtanzania anaitumia vizuri demokrasia hata kama anajua wazi kuwa inamaliza…
Sina kasi na viwango, ‘that’s life’
Nalia machozi yanimwagika. Mwili umechoka; umenyong’onyea kuondokewa duniani na Mnyamwezi mmoja msomi, mwanasheria, aliyeendelea na mwenye hadhari na ulimi wake wakati akiwa katika maongezi. Ni Mnyamwezi mpenda watu, mchapakazi, mvumilivu na mwenye msimamo katika kutetea hoja njema au mbaya. Mjanja…
Wazanaki na uchawi, na miiko ya wazee wa jadi
Hata kama huamini juu ya uchawi na ushirikina, huwezi kuishi ndani ya jamii nyingi za Kiafrika na usisikie taarifa juu ya masuala haya. Miongoni mwa kabila la Wazanaki imani hizi zipo. Ilikuwa desturi anapougua au kufariki mtu jambo la kwanza…
Mwaka mmoja wa Magufuli madarakani Tusimsifu wala tusimhukumu
Naujadili utawala wa Rais Magufuli kutimiza mwaka mmoja. Kwa kuchagua kwa makusudi maneno mawili – tusimsifu wala tusimhukumu – wengine wanaweza kushangaa! Lakini ngoja nikumbushie kisa cha mtaalamu kutoka Japan aliyepelekwa Kigoma. Huyo mtaalamu kila alipoona eneo jipya alilopelekwa Kasulu,…
Tathmini ya mwaka mmoja wa Rais Magufuli
Ni vizuri watu wakutathmini kuliko kujitathmini mwenyewe, lakini ninaloweza kusema ni kwamba kesho ndiyo natimiza mwaka mmoja tangu niwe Rais. Ninamshukuru Mungu kwamba tumeutimiza huo mwaka, lakini pia nawashukuru Watanzania kwa sababu ndani ya ushirikiano wao wa pamoja nchi yetu…
Ndugu Rais umesema tukuamini tumekusikia, tunakuamini
Ndugu Rais ulipoongea na wahariri wa vyombo vya habari ulisema mengi na mengi mengine uliyafafanua vizuri. Nia yako njema kwa nchi hii ilionekana dhahiri. Ukasema tukuamini! Tumekusikia, tumekuamini! Umefanya vema kuwajibu watu wako wema wanaouliza kila siku kutaka kujua kama…