Category: Makala
Mkaa: Hata misitu sasa inalia (1)
Siku chache zilizopita, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo; na Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi wa TFS, Mohamed Kilongo, wametangaza mpango kamambe wa kuratibu biashara na matumizi ya mkaa nchini. Taarifa ya wataalamu hao…
Yah: Kikulacho ki nguoni mwako kiongozi wangu, tambua hilo
Kuna wakati nilipata kuwa monita wa darasa langu miaka hiyo ya zamani, uongozi ule nilidumu nao kwa muda wa wiki moja hivi kabla sijatumbuliwa na mwalimu mkuu mbele ya wanafunzi wenzangu asubuhi ya paredi, niliahidiwa kupewa kazi nyingine na baada…
Kuonesha kisirani mazikoni, ni mwake?
Kwanza naungana na familia, ndugu na Watanzania wote katika kuomboleza msiba uliotufika wa kufiwa na mzazi wetu, ndugu yetu, rafiki yetu na kiongozi wetu mpendwa, Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi, wiki iliyopita. Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raajiuun. Mauti ni faradhi na…
Rais Magufuli usitumie nguvu kumkabili Lowassa
Rais John Pombe Magufuli alipohutubia mkutano wa hadhara alioufanya Manyoni, amenukuliwa akisema; “Hao wanaotaka kuandamana wataona. Nawaomba watangulie wao wawe mstari wa mbele, wasitangulize watoto wa maskini na wao kujificha hotelini mimi sijaribiwi.” Hii ni kauli ya hatari inayoashiria Amiri…
Trump akalia kuti kavu Marekani
Wakati kampeni za kuwania kiti cha Urais ndani ya Taifa kubwa na tajiri la Marekani zikiendelea kupamba moto tayari mgombea asiyeishiwa vituko wa chama cha Republican Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama cha Democrat Hillary Clinton kuwa ‘shetani’. Akizungumza…
Ndugu Rais tusikilize uelewe wananchi wanataka nini
Ndugu Rais, tunaandika hapa kukusaidia wewe ili uwahudumie wananchi wako kwa namna ipasayo. Unaweza ukawa unafanya mambo mengi makubwa, lakini wananchi wakawa hawana furaha na wewe kwa sababu ya jambo moja tu au mawili unayowakera sana. Hivyo utakuwa umefanya vyema…