Category: Makala
Elimu na ubora wetu
“Kutengana na umaskini ni hali iliyo njema sana; na uchache wa afya kuwa katika mwili ni mashaka ambayo hayana mfano. Ubora wa ukubwa na rafiki katika Mahakama haulingani na kitu kingine chochote, na hata hushinda fedha iliyomo mfukoni ambayo haiwezi…
Wajibu wa Serikali yetu kugharimia elimu ya uraia
Mshirika mmoja wa mkutano wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho Insha Tatu za Kifalsafa za Mwalimu Nyerere amerusha kombora zito dhidi ya wasomi na mijadala yao ya kisomi. Mama Anna Mwansasu alihoji desturi ya wasomi kuandaa mikutano kujadili masuala mbalimbali muhimu…
Atuzwa kwa kuisumbua Serikali (2)
Sehemu iliyopita, viongozi wawili katika Tarafa ya Loliondo waliandika waraka kupinga hatua ya Maanda Ngoitiko ambaye ni kiongozi wa asasi ya Pastoral Women Council (PWC), kupewa tuzo ya Front Line Defenders Award for Human Rights inayotolewa na Shirika la The…
Tunaposubiri machafuko ili tunyooshe mambo
Mwaka 1953 nilikuwa mwanafunzi wa darasa la kumi, miaka hii ni kidato cha nne, nilikuwa nasoma Shule ya Sekondari ya Chidya, wilayani Masasi, Kusini Tanzania (Tanganyika enzi hizo). Shule ya Chidya ilikuwa shule ya kwanza ya sekondari Kusini Tanganyika. Ilianzishwa…
VAT itaua utalii nchini
Serikali imetakiwa kutazama upya mpango wake wa kukopa ndani na nje ya nchi pamoja na kutafakari upya suala la kuanzisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika sekta ya utalii. Bajeti iliyowasilishwa bungeni, Dodoma na Waziri wa Fedha na Uchumi,…
Milioni 50 kila kijiji, walipa kodi wapya
Kwa mara ya kwanza Serikali mpya ya Rais John Pombe Magufuli, imesoma bajeti yake ambayo tumeona fedha nyingi zikipangwa kwenye miradi ya maendeleo. Ni jambo jema kwa kuwa wakati wa kampeni tuliahidiwa Serikali itatatua matatizo ya wananchi hasa kuwapatia maendeleo. …