JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

India, Israel zina maslahi Africa

Wakati Afrika ikijiandaa na mkutano wake jijini Kigali, Rwanda, viongozi mbalimbali wa dunia wametembea nchi mbalimbali wakitafuta kupenyeza ajenda zao. Viongozi wakubwa waliotembelea Afrika ni pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na yule wa India, Narendra Modi. Ziara…

Tunahitaji Mandela wengine kuivusha Afrika kiuchumi

Jana, Julai 18, ni Siku ya Mandela, inayoadhimishwa kila mwaka, kama ilivyotangazwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwaka 2009, kutambua mchango wake katika kuutokomeza ubaguzi wa rangi Afrika Kuisini. Katika kuikumbuka Siku ya Mandela, Rais wa Kwanza wa…

Tusisahau historia hii (4)

Kwa wale wazee wenzangu nadhani kama bado wanakumbuka vile vijarida vya Sauti ya TANU, vilikuwa vinatuhabarisha mengi siku zile. Kwa mfano Sauti ya TANU na. 18 ya Desemba 16, 1957 ibara ile ya 5 Mwalimu Nyerere alisema wazi wazi kwa…

Boris: Waziri mwenye kauli tata

Siku chache baada ya Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May, kutangaza Baraza jipya la Mawaziri, amewaacha watu wengi na mshangao kwa kumteua Boris Johson kuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Ikumbukwe kuwa Johnson ndiye aliyekuwa kiongozi wa kampeni kuelekea…

Rais Magufuli mnusuru Mtanzania huyu

Hamis Wendo Mwinyipembe, mkazi wa Kijiji cha Gombero, Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga ni miongoni mwa wananchi wengi walioonja suluba ya kunyanyaswa na vyombo vya dola pengine kwa kukosa uelewa wa sheria ama kufanyiwa vitendo hivyo kwa makusudi na wahusika….

Ndugu Rais tufanyie nchi mapya!

Ndugu Rais, maandiko yanasema, nautamani mji mpya. Mji ule ambao chochote kinyonge hakitaingia. Nao utafanana na Yerusalem mpya. Nami naitamani nchi mpya. Nchi ambayo manyang’au na wanaofifisha haki za raia hawatakuwamo. Nayo ndiyo Tanzania mpya ninayoitamani! Hakuna mwingine kwa sasa,…