JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ilala uvunje urafiki na uchafu uliokithiri

Ni jambo lisilopingika kuwa Ilala ndiyo Dar es salaam, na kama kuna mtu yeyote anayepinga na ajitokeze hadharani kupinga ili tupingane kwa hoja.  Pamoja na ukweli huo, bado Halmashauri ya Manispaa ya Ilala haijajitambua hata kidogo kwenye uwajibikaji katika maeneo…

Fidia unazoweza kulipwa Serikali inapotwaa ardhi yako

Kwa kawaida Serikali hutwaa maeneo. Huhamisha  wahusika, wamiliki,  na  kuchukua  eneo  kwa  malengo  maalum  yaliyokusudiwa. Yaweza  kuchukuliwa nyumba yako, kiwanja, au  hata  shamba.  Mara kadhaa Serikali hufanya hivi panapo mahitaji maalum ya shughuli za umma kama ujenzi wa miundombinu  kama …

Hali ya kisiasa nchini itizamwe kwa umakini

Tanzania inaonekana ni nchi ya amani na utulivu kwa wakati huu. Na huo umegeuka wimbo unaoimbwa na kila mmoja wetu lakini bila kuelewa vina vya wimbo huo vinapatikanaje.  Wimbo upo tangu miaka mingi iliyopita, unaimbwa kwa mbwembwe tu basi. Wengi…

Uchaguzi Mkuu bado mbichi

Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 umekwisha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuibuka kidedea. Hata hivyo, katika hali halisi ngoma inaelekea kuwa bado ni mbichi. Katika  kuitolea ufafanuzi  hoja hiyo, sina budi nielezee, japo kwa muhtasari, historia ya kibwagizo kilichozoeleka hapa…

Nyalandu ajiandaa kurejea Maliasili kwa kutumia Bunge

Sasa ni dhahiri kuwa juhudi za aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Jakaya Kikwete, Lazaro Nyalandu, kutaka kuwa mmoja wa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tano ya Dk. John Magufuli zimegonga mwamba. Kama ambavyo ilikuwa katika…

Almasi ya Mwadui inavyompamba Malkia Elizabeth II wa Uingereza

Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojaaliwa kuwa na aina mbalimbali za madini na inatajwa kuwa kitovu cha madini ya vito barani Afrika. Miongoni mwa madini hayo ya vito ni almasi. Asili ya neno ‘almasi’ kwa lugha ya Kiswahili haifahamiki vizuri,…