JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Zijue aina 7 za adhabu zinazotolewa na korti

1. ADHABU  YA  KIFO (DEATH PENALTY) Adhabu hii hutolewa kwa wenye makosa makubwa kama kuua kwa kukusudia (murder). Kifungu  cha  26  Kanuni za Adhabu kinasema kuwa mtu atakapohukumiwa adhabu ya kifo basi adhabu hiyo itatekelezwa kwa kunyongwa kwa kitanzi mpaka…

Maalim Seif na uchu wa madaraka

Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), amedhihirisha wazi kuwa yeye ni kiongozi mwenye tamaa ya madaraka iliyopitiliza, tamaa inayomwezesha kuteketeza hata nchi nzima pamoja na wananchi wake ilimradi yeye abaki kuwa kiongozi mkuu.  Kilichofanya asiweze…

Ufisadi hauwezi kutenganishwa na CCM

Sisi sote tunajua na tunakubali kwamba Rais John Magufuli ni mchapakazi. Alijibainisha kwamba ni mchapakazi tangu alipokuwa waziri. Wizara yoyote aliyoshika Dk. Magufuli haikusinzia wala haikulala. Na hakuwahi kuitwa ‘waziri mzigo’. Lakini pamoja na ukweli wote huo, ni ukweli pia…

Kanisa na Maisha ya Watu

Tatizo la kweli la dunia ya leo si umasikini; maana tunao ujuzi na amali zinazotuwezesha kuufuta umasikini. Tatizo lenyewe hasa ni mgawanyiko wa binadamu katika tabaka mbili – tabaka ya matajiri, na tabaka ya masikini.  Jambo hilo ndilo linaloleta matatizo,…

Sokwe hatarini kutoweka (1)

Kwa mara nyingine tena naomba nichukue fursa hii kwa niaba ya wasomaji wa makala hii, nimshukuru Mwenyezi Mungu ambaye kwa rehema zake nyingi anatujaalia afya njema na uhai usioweza kulinganishwa na kitu kingine katika dunia tunamoishi.  Kwa vyovyote vile, uhai…

Wanamwogopa Rais Magufuli, au?

Moja ya mambo yanayowashangaza kama siyo kuwatatanisha Watanzania wengi tangu utawala huu wa awamu ya tano uingie madarakani, ni hii kasi ya utendaji kazi inayooneshwa na viongozi mbalimbali ndani ya Serikali kuanzia ngazi ya Taifa mpaka ngazi ya kijiji. Kinachowashangaza…