JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Kwa hili sote tu wadau

Sisi Watanzania tukubali kuwa tumependelewa sana na Mwenyezi Mungu. Kwani hatukuwahi kutawaliwa kikoloni moja kwa moja na Mwingereza kama walivyokuwa majirani zetu. Wakenya wametawaliwa kama koloni la Mwingereza, Nyasaland (Malawi) kama koloni la Mwingereza, Zambia (Northern Rhodesia) kama koloni la…

Yah: Matusi, kelele nazo tunalipia kodi?

Nimeamka nikiwa najiandaa kuanza kusikiliza michango ya wabunge inayotokana na hotuba ya Rais John Magufuli, ambayo kwa aliyeisikia anaweza kudhani kwamba michango ya waheshimiwa wengine inaweza kuchafua hotuba iliyokuwa na mashiko zaidi kwa kipindi chake cha kulifungua Bunge mwaka jana….

Mapinduzi Z’bar yaenziwe

Januari 12 mwaka huu kama ilivyo kila mwaka, Visiwa vya Zanzibar vimeadhimisha Mapinduzi matukufu ya visiwa hivyo yaliyofikisha umri wa miaka 52. Mapinduzi hayo yanakumbukwa katika kuonesha nguvu ya umma inafanya kazi kuliko kitu chochote kile, pale umma unapochoshwa na…

Je, unahitaji ‘NGO’? Fahamu utaratibu wa kusajili

NGO ni kifupi cha neno Non-Governmental Organization. Kwa Kiswahili neno hili humaanisha shirika lisilo la kiserikali. Kawaida Serikali huwa ina mashirika yake, kwa mfano Shirika  la Bima, Shirika la  Nyumba, Shirika  la Umeme, mashirika ya vyakula n.k.   Tunapozungumzia NGO…

Barua yangu kwa Profesa Ndalichako

Awali ya yote naipongeza Serikali kwa hatua chanya iliyoichukua ya kutoa elimu bure kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha nne. Ni hatua ya kupongezwa na kila mpenda maendeleo wa nchi yetu. Lakini, hatua ya kutoa elimu bora kwa kila…

Tumeshindwa kutofautisha ukweli na uchochezi

Katika Tanzania ya leo tumefika mahali ambako maneno ‘ukweli’ na ‘uchochezi’ yanaonekana kama yana maana moja. Mwandishi wa habari na wa magazeti akiandika ukweli mtupu bila kupindisha anaangaliwa kama mchochezi. Mwanasiasa, hasa wa kambi ya upinzani, akisema ukweli mtupu bila…