JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Tuhoji mpango mpya wa maendeleo wa UN

Mwezi uliopita Umoja wa Mataifa umezindua mpango mpya wa maendeleo na wa kupambana na umaskini duniani kufuatia kufikia tamati kwa Mpango wa Maendeleo ya Milenia. Mpango huu mpya unajulikana kama Sustainable Development Goals, na umepitishwa na viongozi wa nchi wanachama…

Biashara za ‘Kidijitali’

Hihitaji mamilioni kuzalisha mabilioni isipokuwa unahitaji wazo, taarifa, uwezo wa kuwasiliana na ujasiriamali vitakavyokuletea mabilioni. Vile vile miaka ya hivi karibuni hapa nchini Tanzania kuna vijana wamebuni mfumo wa kukata tiketi kwa kutumia simu za mikononi. Kinachofanyika ni kwamba unakata…

Wajibu wa vyombo vya habari katika uchaguzi

Vyombo vya habari vina wajibu mkubwa wa kuripoti kwa umakini na usahihi habari mbalimbali hasa zinazohusu uchaguzi ili kuipa jamii kile ambacho inachostahili.  Ili kuviwezesha vyombo hivyo vya habari kufanya kazi yake ipasavyo hasa katika kipindi hiki cha kuelekea katika…

Safari ya Dk. Magufuli Ikulu

Ufuatao ni uchambuzi wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unaonyambua majukumu atakayofanya Dk. John Magufuli endapo Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza nchi hapo Oktoba 15, mwaka huu. Inaeleza wa kifupi malengo ya CCM katika kipindi cha miaka mitano ijayo…

Athari za Shirikisho la Afrika Mashariki (2)

Uchambuzi wa Mkali, wiki iliyopita ulikomea akisema kwamba Uhuru wa wananchi kuishi popote kwenye Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC) unatakiwa uwe, kwa lugha ya kiingereza wanasema, “reciprocal”, kwa maana ya raia kutoka nchi wanachama wanakuwa huru kuhamia Tanzania, kwa sababu…

Tafiti zetu, wasomi wetu

Tafiti zilizofanywa na taasisi mbalimbali siku chache zilizopita kuhusu kukubalika kwa wagombea wa nafasi ya Rais zinaonesha Tanzania imejaa baadhi ya wasomi “wapuuzi”. Hii ni kutokana na kuweweseka kwa chama kinachotakiwa kuondoka madarakani na kupisha fikra mpya kutawala na kuleta…