Category: Makala
NUKUU ZA WIKI
Julius Nyerere: Kufikiri unajua kila kitu ni hatari
“Watu walio hatari sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu, wala hawana haja ya kujifunza tena. Hii ni tabia mbaya ambayo huzuia kabisa maendeleo.”
Serikali iondoe sheria kandamizi kwa vyombo vya habari
Ndugu Mhariri
Natamani Watanzania kwa ujumla wetu tuwe na uelewa wa nguvu wa vyombo vya habari. Ikiwezekana tuingie barabarani kuishinikiza serikali iondoe sheria nzima ambayo ni kandamizi dhidi ya vyombo vya habari hivi.
Prince Charles, JK wateta ujangili
Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Uingereza, Prince Charles, ambaye pia ni mtoto wa Malkia wa nchi hiyo, Elizabeth, ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua zake za dhati za kulinda wanyamapori na kupambana na ujangili dhidi ya tembo na faru, taarifa ya Ikulu imesema.
Maswi: Gesi imeanza kuwatajirisha Mtwara
“Kazi ya kuunganisha na kusambaza mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam imefikia hatua ya kuridhisha. Kazi hiyo inafanywa na mashirika yenye uzoefu mkubwa kimataifa, ambayo ni Shirika la Teknolojia na Mendeleo ya Petroli la China (CPTDC), Kampuni ya Kutengeneza Mabomba ya China (CCP), Worley Parsons Limited na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Tayari mpaka sasa kilomita 142 kati ya 542 zimekamilika. Mradi huo unaotarajiwa kukamilika Desemba mwakani na utakuwa na mitambo ya kisasa.”
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
- Wananchi 1,300 wanufaika na huduma za RITA kupitia ziara ya mwenyekiti CCM Kibaha Mjini
- Tanzania, Mauritius kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Zoezi la kubadilisha Tahasusi na kozi za vyuo lafunguliwa rasmi
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara
Habari mpya
- Wananchi 1,300 wanufaika na huduma za RITA kupitia ziara ya mwenyekiti CCM Kibaha Mjini
- Tanzania, Mauritius kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Zoezi la kubadilisha Tahasusi na kozi za vyuo lafunguliwa rasmi
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
- Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
- Samia azindua minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
- Rais Samia akiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa minara 758 Dodoma
- Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
- Spika Zungu awahimiza wabunge kuachana na karatasi, wahamie mfumo wa kidigitali
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Africa
- Ofisi za Gazeti la Pambazuko zavunjwa na kuibwa nyaraka muhimu