Category: Makala
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (3)
Huu ni mtiririko wa maandishi yaliyo katika kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Sehemu iliyopita Mwalimu alieleza kuzuka kwa suala la Zanzibar kujiunga OIC, na viongozi wakaliombea bungeni mwaka mmoja wa kulitafakari. Endelea…
BUTIAMA 2: 8:1993
Masuala mawili hayo, (i) msimamo wa Zanzibar kuhusu utaratibu wa kuchagua Makamu wa Jamhuri ya Muungano, na (ii) Zanzibar kuingia katika OIC ndiyo yaliyokuwa sababu ya ujumbe wa mara kwa mara kati yangu na Rais wa Jamhuri ya Muungano; na ndiyo Rais na mimi tulikuwa tukiyazungumza Butiama, tarehe 2 Agosti, 1993. Baada ya kuyazungurnza kwa muda mrefu na kuelewana nini la kufanya, Rais akanifahamisha kwamba Waziri Mkuu kamletea habari kwamba:
Zitto wa PAC na CHADEMA ni sawa?
“Mimi sifanyi siasa hapa, natekeleza jukumu langu kama mwenyekiti wa kamati, kwa hiyo hili ni onyo kwao, nipo tayari kunyongwa nikitetea maslahi ya umma.”
BARUA ZA WASOMAJi
Wafanyakazi turudi, tutafakari, tuamue, tujitambue
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia hali ya mambo ndani ya mashirikisho ya vyama vya wafanyakazi Tanzania, baadhi yanafurahisha na mengine yanatia simanzi.
MISITU & MAZINGIRA
Tupande miti ili kukuza uchumi wetu (2)
Urahisi wa kutumia mkaa si bei yake, bali ni kutokana upatikanaji wake (unasambazwa sehemu nyingi mijiji na wauzaji wadogo wadogo) na mtumiaji halazimiki kuweka mkaa mwingi, bali ananunua kulingana na mahitaji ya kila siku pengine kwa kutumia Sh 500 au 1,000 kwa kwa siku.
MISITU & MAZINGIRA
Tupande miti ili kukuza uchumi wetu (2) Urahisi wa kutumia mkaa si bei yake, bali ni kutokana upatikanaji wake (unasambazwa sehemu nyingi mijiji na wauzaji wadogo wadogo) na mtumiaji halazimiki kuweka mkaa mwingi, bali ananunua kulingana na mahitaji ya kila…
KONA YA AFYA
Katika toleo la 16 la makala haya, Dk. Khamis Zephania alieleza jinsi vidonda vya tumbo vinavyochunguzwa na matibabu yake. Sasa endelea…
Vidonda vya tumbo na hatari zake (17)
Dawa za viua vijasumu (antibiotics): Katika hatua kali ya ugonjwa, dawa za kemikali ni muhimu. Hata hivyo, mgonjwa anapaswa kupunguza matumizi ya dawa za kemikali, na ategemee zaidi matibabu asilia. Hii ni kwa sababu dawa nyingi za kemikali haziwezi kutibu kwenye chanzo cha mzizi wa tatizo, na mbaya zaidi huweza kuleta madhara mengi (side effects).